Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

WAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia nchini, kimemuweka kwenye kitanzi mbunge wake wa Kisesa Luhaga Mpina kutokana na michango yake anayoitoa bungeni. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Tayari vikao vya kamati ya maadili ya CCM ngazi ya Wilaya na Mkoa vimejadili mwenendo wa mbunge huyo ndani na nje ya Bunge na kuna…

Read More

Mibuyu hii sasa inang’oka Msimbazi

WAKATI Simba ikiendelea kupiga hesabu za kumaliza msimu na kuanza usajili mkubwa ikiwemo kumshusha kocha mkuu mpya baada ya Abdelhack Benchikha kuondoka, kuna mibuyu itang’oka punde na mingine itajivunja. Hali hiyo inatokea wakati Simba ikikabiliwa na kibarua cha kushinda mechi nane za ligi kuanzia ile ya Ijumaa iliyopita dhidi ya Mtibwa Sugar ili kuwania nafasi…

Read More

CCM yawakalia kooni wanaojipitisha mapema kusaka udiwani, ubunge

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeweka utaratibu maalumu wa kufuatilia mwenendo wa makada wenye hiyo makada wanaoapitisha kwa nia ya kusaka udiwani, ubunge na uwakilishi kabla ya muda ili kuwadhibiti. Utaratibu huo utahusisha upokeaji wa tuhuma dhidi ya makada wanaokiuka utaratibu wa chama hicho, ikiwemo kuanza kampeni mapema ili kuwashughulikia wote watakaobainika. Hatua…

Read More

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

WAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao la kusitisha mapigano, Israel imetangaza kupeleka vifaru kwenye mji wa Rafah na kuwataa udhibiti wa mpaka kati ya Gaza na Misri. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Jana Jumatatu, Kiongozi wa kundi hilo la Hamasi, Ismail Haniyeh aliwafahamisha wapatanishi Quatar na Misri kuidhinisha pendekezo lao la…

Read More