Azam FC ni kitu baada ya kitu

WAKATI vita kati ya Azam FC na Simba ikiendelea kusaka nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara, matajiri wa Dar es Salaam wanaendelea na kusuka kikosi chao baada ya kushusha beki na kiungo, huku nyota wawili wa kigeni Wasenegali Malickuo Ndoye na Cheikh Sidibe wakitajwa kupisha usajili mpya. Azam FC imesajili viungo wawili, Franck Tiesse…

Read More

Yanga Princess yaipa sita Ceasiaa Queens

CEASIAA Queens imesema pamoja na ugumu wa Ligi Kuu ya Wanawake, lakini kuifunga Yanga Princess nje na ndani imewapa kujiamini kuhakikisha msimu huu wanamaliza tatu bora. Timu hiyo ya mjini Iringa inashiriki ligi hiyo kwa msimu wa nne, ambapo mwaka huu imeonekana kuwa imara ikiwa imekusanya pointi 26 na kuwa nafasi ya tatu ikiachwa alama…

Read More

Putin aapishwa kwa muhula mwingine kama rais wa Urusi

Vladimir Putin aliapishwa kwa muhula wake wa tano kama kiongozi wa Urusi Jumanne, akiongeza tena utawala wake juu ya nchi katika sherehe nzuri ya Kremlin wakati jeshi lake likisonga mbele nchini Ukraine katika kilele cha makabiliano mabaya zaidi ya Moscow na Magharibi tangu enzi ya Soviet. Putin, mwenye umri wa miaka 71, alirefusha utawala wake…

Read More

TotalEnergies kutoa tuzo kwa makampuni wakati wa kuadhimisha Miaka 100

TotalEnergies imeanzisha tena shindano lake la makampuni machanga ambapo inalenga kutoa tuzo kwa wajasiriamali 100 kutoka Afrika. Shindano la mwaka huu, ambalo linajumuisha nchi 32 za Afrika ambapo kampuni hiyo inafanya kazi, limepewa “umuhimu maalum” wakati kampuni hiyo inasherehekea miaka 100. Shindano hilo linayojulikana kama “Mwanzilishi wa Mwaka na TotalEnergies” inaingia mwaka wa nne sasa…

Read More