Trump ahukumiwa Marekani, hatokwenda gerezani

Washington. Hukumu ya kesi iliyokuwa ikimkabili Rais mteule wa Marekani, Donald Trump imesomwa leo na kumfanya kuwa Rais wa kwanza wa Marekani kuhukumiwa kwa makosa ya uhalifu. Pamoja na hukumu hiyo kutolewa leo Ijumaa Januari 10, 2025, Trump hatotumikia kifungo chochote wala kulipa faini katika shtaka la matumizi mabaya ya fedha kwa kumhonga mcheza picha…

Read More

Shinda maokoto leo kupitia Wildfire

Kuondoka na maokoto leo ni suala ambalo lipo nje nje kabisa kwanikupitia mchezo wa kasino wa Wildfire unaweza kushinda mkwanja wakutosha ni wewe kupita pale kwenye tovuti ya Meridianbet. Moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni inayolipa Zaidi ni Wildfire Wins ni mchezo wa kasinowenye safuwima tano zilizopangwa kwenye safu ulalo tano na ina mistari…

Read More

ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUHUDHURIA JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI ISRAEL

Na Pamela Mollel,Arusha Zaidi yawafanyabiashara na wajasiriamali 100 kutoka nchini wanatarajia kuhudhuria jukwaa maalumu la kimataifa linalohusu maswala ya uwekezaji nchini Israel kwa ajili kubadilishana uzoefu na fursa za miradi ya uwekezaji zinazoweza kutekezwa na wataalamu hao katoka nchi hizo mbili. Wafanyabiashara hao wanatarajia kukutana katika mji wa Tel-aviv nchini Israel june 8 hadi 14,…

Read More

MWANDUMBYA ATETA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA ALSTOM

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ALSTOM, nchini Tanzania, inayojihusisha na uwekezaji katika ujenzi na uendeshaji wa miundombinu ya reli duniani,  Bi.  Kefilwe Mothupi, baada ya kumalizika kwa kikao kilichofanyika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw….

Read More

NSSF yawatega waajiri, yatoa siku 14 wadaiwa sugu

Babati. Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) Mkoa wa Manyara, unatarajia kuanzisha operesheni maalumu baada ya siku 14 ya ukusanyaji wa madeni kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango ya wafanyakazi wao. Umesema lengo ni kuhakikisha haki za msingi za wanachama zinalindwa. Hayo yamesemwa leo Jumatano, Juni 18, 2025 na Ofisa Matekelezo mkuu wa…

Read More

Waandamanaji kadhaa wauwawa Kenya – DW – 25.06.2024

Sehemu ya maeneo ya bunge nchini Kenya yamechomwa moto wakati maelfu ya waandamanaji wanaopinga mswada tete wa fedha, walipovamia katika maeneo hayo. Wabunge waliokuwa ndani ya bunge, inasemekana walitoroshwa na kupelekwa sehemu salama. Hatua hiyo ya waandamanaji kuvamia maeneo ya bunge ni shambulizi la moja kwa moja kwa serikali ambalo halijawahi kuonekana kwa miongo kadhaa. …

Read More