Wanaotaka kujifunza ZEC kwao kukoje?

MKURUGENZI wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina amesifia usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kwamba ulikuwa mzuri na safi, na kwamba wanapokea maombi ya watendaji wa nchi kadhaa kutaka kuja kujifunza. Anaandika Jabir Idrissa… (endelea). Huyu Thabit Idarous Faina ndo aliyekuwa kinara katika usimamizi wa uchaguzi ule ambao mpaka sasa,…

Read More

Rukwa yapata Sh6.5 bilioni za dharura kurejesha miundombinu ya barabara

Dar es Salaam. Serikali imetoa Sh6.5 bilioni kwa Mkoa wa Rukwa kwa ajili ya kufanya matengenezo ya dharura ya kurejesha miundombinu ya barabara iliyoharibika kutokana na mvua za El Nino zilizonyesha mkoani hapo. Fedha hizo zimepitia Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), taasisi yenye jukumu la kuhakikisha mawasiliano yanapatikana na kuwarahisishia mawasiliano wananchi. Akizungumza jana Jumatatu, Mei 6, 2024…

Read More

Biteko, Nape wanadanganya?

KWA mila na desturi zetu za Kiafrika mkubwa huwa hakosei, ndiyo maana tunasema bosi katoka kidogo siyo katoroka. Meneja  hajafika bado siyo kachelewa na baba hakurudi jana siyo kwamba baba alichepuka. Anaandika Nyaronyo Kicheere (endelea). Kwa mantiki hiyo, sisi watoto wa Kiafrika tuliolelewa vizuri tunakatazwa kusema kwamba mtu fulani mkubwa kasema uongo au kwamba mzee…

Read More

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

NAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo yanayotolewa na Shirika la Amend kwa udhamini wa Ubalozi wa Uswis kwa madereva bodaboda 395 kwani yatawalinda raia wanaowabeba kwa ajili ya kujenga uchumi wa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Akizungumza wakati wa kuhimishwa kwa mafunzo ya awamu ya pili ya usalama barabarani…

Read More

Mahakama yamtaka Mwakinyo kwenye usuluhishi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefikia uamuzi wa kulipeleka shauri la kesi ya madai inayomkabili bondia Hassan Mwakinyo dhidi ya mdai Kampuni ya PAF Promotion katika usuluhishi ambapo imemtaka mdaiwa na mdai kufika bila kukosa keshokutwa Ijumaa. Kesi hiyo ambayo juzi ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutajwa katika usuluhishi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim…

Read More

Kila mwanachama mwenye sifa anaruhusiwa kugombea nafasi yoyote,lakini kwenye uteuzi si kila mtu atateuliwa

Katibu mkuu wa Jumuiya ya wazazi CCM Taifa, Ally Salum Hapi amewatahadharisha watu wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali katika chaguzi zijazo kupitia chama cha mapinduzi hususani katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani 2025 kuelewa namna mchakato wa kupata wagombea unavyokuwa kwani kwa mujibu wa katiba kila…

Read More

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

MWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura katika uchaguzi mkuu ambao unaweza kuleta mabadiliko makubwa zaidi ya kisiasa katika miongo mitatu, huku chama tawala cha African National Congress (ANC) kikiwa katika hatari ya kupoteza wingi wake wa wabunge. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Zaidi ya watu milioni 27 wameandikishwa kwenye daftari la…

Read More

Rais Vladimir Putin ala kiapo cha awamu ya tano ya urais – DW – 07.05.2024

Kwenye shughuli ya uapisho, Rais Vladimir Putinamesema anayachukulia mamlaka ya urais nchini humo kama “jukumu takatifu”. Akasisitiza katika Ukumbi wa Saint Andrew ambako amekula kiapo kwamba kuitumikia Urusi ni heshima kubwa, wajibu na jukumu takatifu, huku akiwarai raia wa taifa hilo kuvikabili vikwazo dhidi yao kwa kuungana pamoja. “Nina imani kuwa tutapita katika kipindi hiki…

Read More