NJOMBE YAPOKEA MWENGE, LUDEWA YAANZA KUUKIMBIZA.

Mwenge wa Uhuru umepokelewa rasmi Mkoani Njombe katika Wilaya ya Ludewa ukitokea mkoani Ruvuma ambapo katika mkoa wa Njombe utakimbizwa Km. 726 na kupitia miradi yenye thani ya Tsh. Bil. 15.9. Wilaya ya Ludewa ndiyo Wilaya ya kwanza kuanza kuukimbiza mwenge huo katika mkoa wa Njombe ambapo itakimbiza umbali wa Km. 137 mpaka kukabidhiwa kwake…

Read More

DKT.MPANGO AAGIZA WAGANGA WAKUU WA MIKOA NA HALMASHAURI KUVITUNZA VIFAA TIBA KWENYE VITUO VYAO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango,akizungumza wakati akifunguaย  Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijiniย  Dodoma leo Julai 12,2025. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa,akizungumza wakati waย  Mkutano wa Mwaka…

Read More

Papa Leo XIV alaani unyonyaji, masikini kutengwa

Roma. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Leo wa XIV, amelaani unyonyaji wa watu maskini, huku akitoa wito wa umoja ndani na nje ya kanisa. Amebainisha hayo leo Mei 18, 2025 wakati wa misa maalumu ya kusimikwa kuwa kiongozi wa kanisa hilo baada ya kuchaguliwa Mei 8, 2025 na makardinali 133 kutoka mataifa mbalimbali duniani. Misa…

Read More

Kuokoa SDGs bado inawezekana, lakini nchi lazima zichukue hatua sasa: Guterres – Maswala ya Ulimwenguni

Akihutubia mawaziri katika makao makuu ya UN huko New York, yeye alitaka hatua za haraka Ili kuokoa lagging Malengo endelevu ya maendeleo (SDGS) huku kukiwa na vita, usawa na shida ya kifedha. “Mabadiliko sio lazima tu – inawezekana“Alitangaza, akionyesha ahadi za alama zilizopitishwa katika miezi ya hivi karibuni: makubaliano ya janga saa Mkutano wa Afya…

Read More

Kaa mkao wa kula na Meridianbet Jumamosi ya leo

ย  Wikendi ya kutusua na Meridianbet hatimaye imefika sasa, unangoja nini suka jamvi lako kuaniza kuleย  Uingereza, Hispania, Italia na kwingine kwingi utimize ndoto zako hapa. Ligi pendwa Duniani EPL leo kuna mechi kibao za pesa Aston Villa baada ya kushinda mechi yake iliyopita, leo atamualika Wolves ambaye hajashinda mechi yoyote hadi sasa. Unai Emery…

Read More

Utabiri umetimia, Sekretarieti ya Mbowe yameguka Chadema โ€“ Global Publishers

Katika kipindi ambacho Tanzania inaelekea kwenye uchaguzi mkuu mwishoni mwa mwaka huu, chama kikuu cha upinzani nchini, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemeguka baada ya waliokuwa wajumbe wa sekretarieti na wajumbe wa kundi la G55 kutangaza Jumanne ya Mei 7, 2025 kujiondoa rasmi katika chama hicho. Hawakusema wanahamia chama gani. Hii inatokana na Chadema…

Read More