Tozo saba zapunguzwa mnada wa korosho ukikaribia kuanza

Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Francis Alfred ametangaza kuanza kwa minada ya korosho ghafi nchini ifikapo Oktoba 11, 2024. Alfred amebainisha hayo leo Septemba 13, 2024 mbele ya Naibu Katibu Mkuu wa Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Seleman Serera mkoani Mtwara wakati wa kikao cha kujadili mfumo wa ununuazi wa korosho. Amesema…

Read More

Azam FC bado haijapata dawa kwa Simba

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC wameendelea kuonyesha ubora wao msimu huu wa mashindano 2024/25 wakiwa chini ya kocha, Fadlu Davids kwa kuibuka na ushindi wa tatu mfululizo katika ligi bila ya kuruhusu bao baada ya kuichapa Azam mabao 2-0 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Katika michezo mitano, mitatu ya ligi na miwili ya…

Read More

Haya Hapa Ndio Mataifa Matatu yanayoongoza Kuwa na Idadi kubwa Zaidi za Watu Barani Afrika – MWANAHARAKATI MZALENDO

Bara la Afrika ni miongoni mwa Mabara ambayo yanayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu Duniani. Kwa mujibu wa takwimu za Worldometer kupitia marekebisho mapya ya UN, Nigeria ina idadi kubwa ya watu barani Afrika. Kufikia 2023, nchi hiyo ilihesabu zaidi ya watu milioni 223.8, ambapo Ethiopia, ambayo ilishika nafasi ya pili, ina wakazi…

Read More

Mfanyabiashara akata rufaa mfanyakazi wa CRDB kuachiwa huru

MFANYABIASHARA Deogratus Minja amewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ya kumuachia huru mfanyakazi wa Benki ya CRDB, Ibrahim Masahi (40) ambae anatuhumiwa kumjeruhi na nyundo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Inadaiwa kuwa Masahi alimpiga na nyundo jirani yake Minja na kumsababishia…

Read More

Mwenda kazi anayo Singida Black Stars

NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Israel Mwenda amewasili rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya hivi karibuni kuibuka mgogoro wa kimaslahi baina ya pande zote mbili zilizosababisha beki huyo kushindwa kuwasili kambini kwa muda muafaka, huku akikabiliwa na kazi nzito ya kuliamsha kikosini. Mwenda aliyesajiliwa na Singida msimu huu akitokea Simba aliyoitumikia kwa misimu…

Read More

Mabosi Simba washtuka! | Mwanaspoti

MABOSI wa Simba wameshtuka. Baada ya kushindwa kumnasa Balla Mousa Conte, kisha kumpoteza beki wa kushoto, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ anayedaiwa kusajiliwa Yanga kwa mkataba wa miaka miwili, kumewafanya wazinduke na kuanza kufanya mambo yao kimyakimya. Simba iliyoanza kumfukuzia Bella Conte, ilijikuta ikipigwa bao…

Read More