ARFA yapata mabosi wapya | Mwanaspoti

Chama cha soka mkoa wa Arusha (ARFA) imefanya uchaguzi wa nafasi mbali mbali na kupata viongozi watakaoiongoza kwa miaka minne.  Uchaguzi huo umefanyika leo mjini Namanga wilayani Longido ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya ARFA, wakili Hilda Mwanga na wasimamizi kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Karume Benjamin ambaye ni Makamu Mwenyekiti…

Read More

Upelelezi kesi ya aliyejitambilisha Profesa Kamugisha wa Muhimbili bado

Dar es Salaam. Uchunguzi bado unaendelea katika kesi ya kutakatisha fedha na kujipatia Sh7.3 milioni kwa udanganyifu inayomkabili mfanyabiashara Ibrahim Bigirwa (33) na wenzake wawili. Bigirwa na wenzake, wanakabiliwa na mashtaka 50, yakiwemo ya kuongoza genge la uhalifu, kujipatia fedha kwa udanganyifu kutoka kwa watu mbalimbali. Bigirwa  pekee, anakabiliwa na mashtaka ya kujitambulisha kwa watu…

Read More

Taifa Stars v Niger Mechi ya hesabu

KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars jioni ya leo kinatarajia kushuka kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikabili Niger ikiwa ni mechi ya hesabu za kuisaka tiketi ya kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia 2026. Baada ya kukosa tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki fainali hizo za mwakani kutokana na Morocco kuinasa…

Read More

Mahakama yakataa kuzuia DC Tunduru kukamata mifugo

Songea. Mahakama Kuu Kanda ya Songea, imelikataa ombi la mfugaji mkazi wa Tunduru, Leleshi Ratu la kutaka Mkuu wa Wilaya (DC) ya Tunduru, azuiwe kuendelea na operesheni ya kukamata mifugo na kutoza faini. Katika uamuzi alioutoa jana Septemba 5, 2024 kuhusu maombi namba 20169 ya 2024 dhidi ya DC na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),…

Read More

Hali si shwari kwenye familia

Dar es Salaam. Wakati Tanzania inaungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Familia, taasisi hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto lukuki ikiwamo migogoro ya ndoa, malezi duni na ongezeko la watoto wa mitaani. Changamoto hizi zimechochea mmomonyoko wa maadili miongoni mwa watoto na vitendo vyenye athari  ikiwamo kujihusisha na vitendo vya ngono katika umri…

Read More

DK.ASHA-ROSE MIGIRO AAHIDI CCM KUFANYA KAMPENI ZA KISTAARABU UCHAGUZI MKUU

Na Mwandishi Wetu,Ngerengere KATIBU Mkuu wa Chama Cua Mapinduzi(CCM) Balozi Dk.Asha -Rose Migiro amewahakikishia Watanzania kuwa Chama hicho kimejipanga kuhakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Balozi Dk.Migiro amesema hayo Agosti 29,2025 katika Uwanja wa Njia Nne uliopo Kata ya Ngerengere mkoani Morogoro wakati wa mkutano wa kampeni…

Read More

Kikoti yeye na Coastal Union

KIUNGO Lucas Kikoti ameweka wazi kuwa, licha ya mkataba wake kumalizika rasmi mwishoni mwa msimu huu, moyo wake bado uko Coastal Union na hiyo ndiyo sababu anataka kuipa kipaumbele klabu hiyo kabla hajafanya uamuzi mwingine kuhusu mustakabali wake. Kikoti amesema anathamini kipindi alichokaa ndani ya kikosi cha Wagosi wa Kaya, haoni sababu ya kuwahi kufanya…

Read More

BALOZI NCHIMBI AKIPIGA KURA DODOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amepiga kura yake katika Kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kilimani, kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali ya mtaa anaoishi, eneo la Kilimani, jijini Dodoma, leo tarehe 27 Novemba, 2024.  

Read More