CHMT ZATAKIWA KUSIMAMIA UKAMILISHWAJI WA MAJENGO YA KIPAUMBELE

OR-TAMISEMI Mkurugenzi wa Idara ya Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais – TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amezielekeza timu za usimamizi wa shughuli za Afya ngazi ya Halmashauri (CHMT) kusimamia na kushauri ukamilishwaji wa majengo ya kipaumbele badala ya kujenga majengo mengi bila kukamilika. Dkt. Mfaume ametoa maelekezo hayo baada ya kukagua shughuli za…

Read More

Simba wala ng’ombe 70 Simanjiro

Simanjiro. Ng’ombe 70 za wafugaji wa kata ya Ruvu Remit iliyopo Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wameliwa na simba ndani ya wiki moja, hivyo wameiomba Serikali kuingilia kati kwa kuwaua simba hao ili kuokoa mifugo yao. Akizungumza kwenye kikao cha Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, leo Jumatatu Mei 6, 2024, diwani…

Read More

Inonga ageuka kocha Simba, ikivuna pointi tatu

LICHA ya uwepo wa kocha Juma Mgunda na msaidizi wake Seleman Matola, beki Mkongomani wa Simba, Henock Inonga ambaye alikuwa kati ya wachezaji wa akiba amegeuka kocha katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao timu hiyo imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tabora United. Bao la Sadio Kanoute katika dakika ya 19 likiwa…

Read More

WATAALAMU WA VINASABA TUMIENI TEKNOLOJIA,WELEDI UWE KIPAUMBELE KWENYE MAJUKUMU YENU: DKT. JINGU

Na.mwandishi wetu_Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu, ametoa rai kwa kamati ya kitaalamu wanaofanya uchunguzi wa Vinasaba vya Binadamu kuzingatia matumizi ya teknolojia huku wakizingatia weledi na kufuata maadili ya kazi ili kuepuka madhara au migogoro inayoweza kujitokeza. Dkt. Jingu amesema hayo leo 6 Mei, 2024 jijini Dodoma wakati akizindua Kamati…

Read More

Matibabu ya kibingwa na bobezi kupatikana ngazi za msingi

Iringa. Huduma za afya za kibingwa na ubingwa bobezi sasa zimeanza kupatikana katika afya ya msingi, baada ya kuzinduliwa rasmi kwa mpango wa kambi za madaktari bingwa waliosambaa nchi nzima, kutoa matibabu kwenye hospitali zote 184 za halmashauri. Kwa kawaida, kambi za huduma za madaktari bingwa, zimekuwa zikifanyika katika hospitali za rufaa za kanda au…

Read More

Simba, Yanga zamuachia msala Kibu

BAADA ya mazungumzo ya muda mrefu na klabu yake ya Simba kuhusu kuongeza mkataba mpya sambamba na Yanga kutaka kumsajili kiungo mshambuliaji, Kibu Denis, sasa amebaki na kalamu mkononi akipewa uhuru wa kuchagua asaini wapi na avae jezi gani msimu ujao jambo lililomuweka njia panda. Kibu aliyejiunga na Simba msimu wa 2021/2023 akitokea Mbeya City…

Read More

Mshitakiwa akiri kumuua shangazi yake akimtuhumu kwa uchawi

Geita. Mshtakiwa Peter Lameck (25) anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya shangazi aitwaye Isanziye Mwinula (67) amekiri kutenda kosa hilo, lakini akadai kuwa alimuua shangazi yake huyo bila kukusudia kutokana na tuhuma za kuwaua ndugu zake pamoja na mtoto wake (mshtakiwa) kwa uchawi. Mshtakiwa huyo amekiri kutenda kosa hilo leo, Mei 6, 2024, wakati kesi…

Read More

Simba, Yanga yamuachia msala Kibu

BAADA ya mazungumzo ya muda mrefu na klabu yake ya Simba kuhusu kuongeza mkataba mpya sambamba na Yanga kutaka kumsajili kiungo mshambuliaji, Kibu Denis, sasa amebaki na kalamu mkononi akipewa uhuru wa kuchagua asaini wapi na avae jezi gani msimu ujao jambo lililomuweka njia panda. Kibu aliyejiunga na Simba msimu wa 2021/2023 akitokea Mbeya City…

Read More