Wasira awaonya wavuvi Ziwa Victoria

Rorya. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewataka wavuvi wa Ziwa Victoria kuchukua tahadhari kwa kutofika kwenye mipaka ya nchi jirani ili kuepusha mitafaruku na kuporwa zana zao za uvuvi. Wasira ametoa tahadhari hiyo leo Ijumaa Februari 7, 2025 wilayani Rorya baada ya kupata taarifa juu ya uwepo wa matukio…

Read More

Kipa Berkane aichimba mkwara Simba

KIPA wa RS Berkane ya Morocco, Munir El Kajoui amesema kikosi chao kimetua Tanzania kwa kazi moja tu – kuhakikisha kinakamilisha kile walichokianza kwenye mechi ya kwanza ya fainali dhidi ya Simba SC wikiendi iliyopita, nchini kwao. Akizungumza kabla ya mazoezi leo, Ijumaa, ikiwa ni siku moja baada ya kikosi hicho kuwasili  Zanzibar kwa ajili…

Read More

DC Mufindi atahadharisha kuhusu ugonjwa wa Marburg

Mufindi. Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda Salekwa wamewataka wananchi katika wilaya yake kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Marburg ambao umeripotiwa kuingia hapa nchini katika Wilaya ya Bihalamuro mkoani Kagera. Januari 20, 2025, Rais Samia Suluhu Hassan alithibitisha uwepo wa ugonjwa huo wakati alipoungumza na waandishi wa habari akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika…

Read More

Viongozi wa eneo hilo huongeza joto juu ya hatua ya kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Kutoka Moroko hadi Maharastra, California hadi Quebec, UN’s Viongozi wa eneo hilo Mfululizo unaangazia jinsi uongozi wenye nguvu unavyoathiri sana maisha ya watu katika nchi zinazoendelea na zilizoendelea. On Siku ya Kimataifa ya Mama Duniani Ambayo huadhimishwa kila mwaka mnamo Aprili 22, mfululizo huo unakusudia kuhamasisha hatua pana za hali ya hewa na kuonyesha umuhimu…

Read More

Yanga mwendo mdundo, yaizima Wiliete kwao

‘NO Aucho No problem!’ Ndivyo mashabiki wa Yanga kwa sasa wanatamba mtandaoni, baada ya kiungo mkabaji, Aziz Andabwile kugeuka lulu kikosini na kuendelea kuwapa raha pale jana alipofunga bao tamu wakati timu hiyo ikiizamisha Wiliete Benguela ya Angola kwa mabao 3-0. Katika mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

Mpanzu, wenzake wana wiki mbili tu

SIKU chache tangu washindwe kuhimili kishindo cha Yanga na kukubali kichapo cha mabao 2-0 wakifunga msimu wa 2024-2025 bila taji, mastaa wa Simba akiwamo Elli Mpanzu na Jean Charles Ahoua wamepewa wiki mbili za kupumzika kabla ya kurejea kujiandaa na msimu ujao. Hatua ya mastaa hao kupewa likizo fupi imeelezwa kutokana na mipango aliyonayo Kocha…

Read More