Fei Toto, Aziz KI vita ni kali

Bao moja alilolifunga nyota wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika mchezo wa jana dhidi ya Mtibwa Sugar limemfanya kufikisha mabao 15 ya Ligi Kuu Bara akiwa sambamba na nyota wa Yanga, Stephane Aziz Ki waliopo kwenye vita ya ufungaji bora. Feisal alifunga wakati Azam ikiitandika Mtibwa Sugar mabao 2-0, jana na kuendeleza kushikilia…

Read More

Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Muungano kuzikwa Jumatano

Moshi. Hassaniel Mrema (80), mmoja wa vijana walioshiriki tukio la kuchanganya udongo siku ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26, 1964, anatarajiwa kuzikwa Jumatano Mei 8, 2024 nyumbani kwake katika kijiji cha Mdawi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Mzee Mrema ambaye alizaliwa Juni 23, 1944, alifariki, Jumamosi ya Mei 4, 2024 saa 12:00 asubuhi,…

Read More

HISIA ZANGU: Pamba karibuni katika ufalme wa Aziz KI, Chama

RAFIKI zetu wa Mwanza Pamba wamerudi Ligi Kuu. Imepita miaka 22 tangu walipoondoka zao. Umri wa mtu mzima. Nyakati zimekwenda wapi? Hatujui. Walikuwa na shangwe kwelikweli katika mitaa yao. Namna walivyopokewa ungeweza kudhani wametoka kutwaa Kombe la Dunia. Unaikumbuka Pamba halisi? Wakati huo wakiwa na kina Fumo Felician, Khalfan Ngassa baba yake Mrisho Ngassa, Kitwana…

Read More

Msikie Nchimbi, Umewahi kula ugali wa mafuta!

VIPO vyakula vya aina mbalimbali duniani, lakini umewahi kusikia au kula ugali uliopikwa kwa kuchanganywa na mafuta ya kupikia? Hata hivyo, katika harakati za kutafuta maisha mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ditram Nchimbi amejikuta akikumbana na chakula hicho nchini Rwanda anakoichezea Etincelles FC inayoshiriki Ligi Kuu. Katika mahojiano na Mwanaspoti, Nchimbi aliyeichezea Yanga kati ya…

Read More

Bashungwa aapa kutoondoka Lindi, kisa barabara

Kilwa. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hatoondoka mkoani Lindi, hadi pale agizo lake la kujengwa kwa barabara iliyokatika kujengwa ndani ya saa 72 litakapokamilika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Mei 6, 2024 alipotembelea eneo la Mto Matandu, Waziri Bashungwa amesema atajitahidi kufika maeneo yote yaliyopata madhara hata ikiwa kwa boti. “Kwa namna yoyote…

Read More