Mayele anukia Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

MABINGWA wa zamani w Ligi Kuu Bara, Mtibwa Sugar wanakaribia kuipata saini ya mshambuliaji wa TMA ya Arusha, Kassim Shaibu ‘Mayele’, baada ya nyota huyo kufanya mazungumzo na timu hiyo, ambayo hadi sasa yanaendelea vizuri ili kukitumikia kikosi hicho msimu ujao. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Shaibu amekubaliana maslahi binafsi ya kujiunga na Mtibwa Sugar…

Read More

Dk Nchimbi atoa maagizo kwa Serikali, amwita naibu waziri

Kyerwa. Kufuatia kupaa kwa bei ya Kahawa mkoani Kagera, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameipongeza Serikali kwa kusimamia jambo hilo kwa maslahi ya wakulima mkoani humo huku akiitaka iendelee kusimamia ili isishuke. Dk Nchimbi ametoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake uliofanyika leo Alhamisi Agosti 8, 2024 katika Wilaya ya…

Read More

Mwanga yaomboleza: Cleopa Msuya ameacha alama isiyofutika

Mwanga/Dar. Wakati maandalizi ya mazishi ya aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, hayati Cleopa David Msuya yakiendelea, wananchi wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro wameeleza namna kifo chake kilivyoacha pengo lisilozibika, wakimtaja kama kiongozi aliyeweka historia ya umoja, mshikamano na maendeleo pasipo na ubaguzi. Mazishi ya kiongozi huyo mkongwe yanatarajiwa…

Read More

Hatua kubwa mbele ya ulinzi wa watoto nchini Kolombia, kwani wanasiasa wanapiga marufuku ndoa za watoto wachanga – Global Issues

Mnamo Novemba, kufuatia majaribio kadhaa yaliyoshindwa, wanasiasa wa pande zote waliidhinisha mswada wa kurekebisha sheria ambayo imekuwa ikitumika tangu 1887, ikionyesha mazoea yenye mizizi ambayo inakiuka haki za watoto na vijana: kulingana na Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) msichana mmoja kati ya watano wenye umri kati ya miaka 14 na 18 yuko…

Read More