Abdi Banda asaini Dodoma Jiji

BEKI wa zamani wa Simba na Coastal Union, Abdi Banda, ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kusalia Dodoma Jiji baada ya ule wa miezi sita kumalizika msimu huu. Nyota huyo alijiunga na kikosi hicho Januari 15, 2025 akitokea Baroka FC ya Afrika Kusini, ambako alivunja mkataba miezi mitatu baada ya kuipeleka FIFA timu ya Richards…

Read More

Nani Kukupatia Mzigo wa Maana Leo?

KAMA kawaida kila siku kuna mechi kibao za ushindi zinapigwa kwenye Mataifa mbalimbali, mechi za michuano kibao kuendelea leo. Meridianbet inakukaribisha utengeneze jamvi lako sasa. Mechi za kufuzu CONFERENCE LEAGUE zinaendelea siku ya leo FSV Mainz 05 atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Rosenborg BK kutoka kule Norway huku wakipewa ODDS 3.80 kushinda mechi hii ya…

Read More

Hongera Simba Queens kwa kujivua gamba usajili

KATIKA dirisha linaloendelea la usajili, Simba Queens imejilipua hasa kwa kuacha majina mengi makubwa ambayo mengine hayakutegemewa kama yangeweza kupigwa chini. Mfungaji Bora wa kikosi hicho kwa msimu uliopita, Jentrix Shikangwa ni miongoni mwa mastaa ambao wamepewa mkono wa kwaheri na Simba Queens ambayo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu ya…

Read More

NBAA YAWANOA WATAHINIWA MITIHANI CPA

  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha warsha kwa njia ya mtandao pamoja na mafunzo ya ana kwa ana kwa wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi, ikilenga kuongeza ufanisi na maandalizi bora kwa watahiniwa wake. Akizungumza wakati wa kufungua warsha hiyo kwa niaba ya  Mkurugenzi Mtendaji, Peter Lyimo, Mkurugenzi…

Read More

Mikoa hii bila mvua kwa siku 10

Dar es Salam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa mwelekeo wa hali ya hewa kwa siku 10 baadhi ya mikoa ikitarajiwa kupata mvua nyepesi, huku mingi zaidi ikitarajiwa kushuhudia hali ya ukavu. Taarifa hiyo ya TMA kwa siku 10 kuanzia leo Alhamisi Agosti 21, 2025 hadi Agosti 31, 2025, inaonyesha mikoa ya Kanda…

Read More

TFS Yaendeleza Mafunzo kwa Wahifadhi

Iringa. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kuendesha ziara za mafunzo kwa wahifadhi, kwa lengo la kujengea ujuzi na uelewa wa kushughulikia mashamba ya miti na kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao. Wahifadhi 15 kutoka Shamba la Miti Buhigwe – Makere walitembelea Shamba la Miti Sao Hill, wilayani Mufindi, Agosti 20, 2025, kujionea…

Read More

ACT-Wazalendo yamjibu msajili hoja za Monalisa

Dar es Salaam. Sakata la uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea urais wa ACT-Wazalendo limeendelea kushika kasi,  huku  chama hicho kikitoa majibu kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na Naibu Mwenezi wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala anayepinga uteuzi huo. Monalisa aliwasilisha malalamiko hayo Agosti 19, 2025 Ofisi…

Read More