
Abdi Banda asaini Dodoma Jiji
BEKI wa zamani wa Simba na Coastal Union, Abdi Banda, ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kusalia Dodoma Jiji baada ya ule wa miezi sita kumalizika msimu huu. Nyota huyo alijiunga na kikosi hicho Januari 15, 2025 akitokea Baroka FC ya Afrika Kusini, ambako alivunja mkataba miezi mitatu baada ya kuipeleka FIFA timu ya Richards…