Majaliwa ataka magereza yote kutumia nishati safi kufikia 2027
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Wizara ya Nishati kushirikiana kwa karibu ili kuhakikisha magereza yote nchini yanaunganishwa na mfumo wa nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2027. Majaliwa amesema hatua hiyo inalenga kuboresha mazingira ya wafungwa, kulinda afya za watumishi na kuunga mkono jitihada za Serikali katika…