Sababu Kagame, Tshisekedi kushindwa kuhudhuria mkutano wa marais EAC
Arusha. Rais wa Rwanda, Paul Kagame na wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi hawajawasili jijini Arusha zikiwa zimebaki dakika chache kabla ya mkutano wa 25 wa kawaida wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Katika mkutano huo jumla ya wakuu wa nchi wanane walitarajiwa kuhudhuria lakini, Katibu Mkuu wa…