Huduma za kibingwa zatua hospitali 184 za halmashauri

Iringa. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amezindua mpango wa makambi ya madaktari bingwa waliosambaa nchi nzima kutoa za matibabu kwenye hospitali zote 184 za halmashauri. Madaktari bingwa watano wa upasuaji; afya ya uzazi, watoto na watoto wachanga, magonjwa ya ndani pamoja na wale wa ganzi na usingizi watakuwa wakitoa huduma za kibingwa kwenye hospitali moja…

Read More

Mikakati ya Serikali kuipa nguvu ATCL

Dodoma. Serikali imesema miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 itakayopewa kipaumbele,  ni pamoja na ufufuaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL). Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 6, 2024 na Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa wakati akiwasilisha bungeni mpango na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka…

Read More

Watakiwa kujitolea kusaidia waathirika wa mafuriko

Dar es Salaam. Wakati bado athari za mafuriko wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani zikiendelea kuathiri maelfu ya wananchi, Watanzania wametakiwa kujitolea kuwasadia kwa hali na mali wanaanchi hao. Wito huo umetolewa Mei 4, 2024 na wawakilishi wa taasisi za Lions Club na Who is Hussein walipokuwa wakitoa misaada kwa waathirika wa mafuriko wilayani Rufiji Mkoa…

Read More

Vigogo wa Coastal wameamua, waanza na uwanja

Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union, Steven Mguto amesema wanatarajia kuanzia Agosti, mwaka huu, wataanza kutumia uwanja wao kwa ajili ya mazoezi, huku akieleza kuwa msimu huu wanaitaka nne bora na taji la Kombe la Shirikisho (FA). Coastal Union imefuzu nusu fainali ya kombe la shirikisho, ambapo inatarajia kukutana na Azam kusaka nafasi ya kutinga…

Read More

Prof. Mbarawa aanika mafanikio ya TMA

SHUGHULI za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), zimeimarika katika mwaka wa fedha wa 2023/24, baada ya Serikali kuendelea kufanya uboreshaji wa utendaji wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 6 Mei 2024 bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, akiwasilisha utekelezaji wa bajeti ya…

Read More