WANAFUNZI WA KIMATAIFA CHUO KIKUU MZUMBE WAWASILISHA MATOKEO YA TAFITI ZA AWALI KUHUSU MAJI, ELIMU NA USALAMA WA CHAKULA

Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Antwerp Ubelgiji na Chuo Kikuu cha Kikristu cha Uganda ambao wapo katika programu ya kubadilishana Wanafunzi na Chuo kikuu Mzumbe wamewasilisha matokeo ya awali ya tafiti walizofanya kwenye maeneo ya maji, elimu na usalama wa chakula kwa kusimamiwa na wahadhiri wa Chuo Kikuu Mzumbe ikiwa ni sehemu ya mafunzo yao…

Read More

Mbeya City yashtuka, kumkalia kikao Mayanga

Baada ya kumalizika kwa Championship, uongozi wa Mbeya City umekiri kutofikia malengo ukiahidi kujipanga upya kwa ajili ya msimu ujao, huku ishu ya benchi la ufundi ikisubiri kikao cha bodi. City iliyoshuka daraja msimu wa 2022/23, imemaliza Championship nafasi ya sita kwa pointi 37, huku ikiongozwa na Salum Mayanga ambapo matarajio yao yalikuwa ni kurejea…

Read More

Mafuriko, maporomoko ya udongo yaua 78 Brazil

Rio de Janeiro. Unaweza kusema mafuriko yameendelea kuwa mwiba maeneo mbalimbali ulimwenguni. Hii  ni kutokana na kusababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali pamoja na miundombinu. Mbali na Tanzania, Kenya, na Falme za Kiarabu ambapo yameripotiwa kusababisha madhara makubwa pia vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti vifo vya watu takribani 100 katika jimbo la kusini la…

Read More

Ken Gold yaanza kusaka kocha mpya, yapokea CV kibao

Wakati idadi ya makocha wanaoomba kibarua Ken Gold ikizidi kuongezeka, uongozi wa timu hiyo umesema mbali na vigezo vya elimu, unataka kocha mwenye historia ya matokeo mazuri. Ken Gold ya wilayani Chunya mkoani Mbeya inatarajia kushiriki Ligi Kuu msimu ujao baada ya kupanda daraja na kumaliza Championship ikiwa kinara kwa pointi 70 ikifuatiwa na Pamba…

Read More

RC CHONGOLO AIPA HEKO TANROADS//BIL 5.7 ZATOLEWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU MKOANI SONGWE

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo ameipongeza timu ya wataalamu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kufanya kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa kuhakikisha barabara zinapitika mkoani Songwe. Rc Chongolo ameeleza kuwa changamoto ya uharibifu mkubwa wa miundombinu umefanyiwa kazi kwa haraka na timu ya wataalamu wa TANROADS na TARURA jambo ambalo…

Read More