Kocha JKT Tanzania aanika usajili mpya

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amefichua juu ya mpango wa kuboresha kikosi katika dirisha kubwa la usajili baada ya kushindwa kufikia malengo msimu huu, huku akitaja maeneo mawili atakayoshughulika nayo ili maafande hao warudi na moto katika Ligi Kuu Bara. Maafande hao wa JKT wanaokamata nafasi ya sita katika msimamo wakiwa na pointi…

Read More

Taa za barabarani zazalishwa nchini Tanzania

Dar es Salaam. Ununuzi wa taa za barabarani kutokana nje ya nchi huenda ukakoma, baada ya wataalamu nchini Tanzania kutengeneza taa za sola na umeme zenye uwezo wa kudumu miaka 100. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Julai 8, 2024 katika Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), Salome Lwanteze, mhandisi katika Kiwanda cha…

Read More

Tanzania yatoa maagizo kukabili mauaji ya albino

Dodoma. Wakati matukio ya ukatili dhidi ya watu wenye ualibino yakianza kuibuka nchini, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametaja mikakati na maagizo kwa vyombo vya usalama, viongozi wa Serikali, dini, waganga wa kienyeji, wazazi, walezi na wananchi kwa ujumla, ili kukomesha vitendo hivyo. Hatua hiyo imekuja kutokana na mauaji ya mtoto, Asimwe Novath (2) mwenye ualbino,…

Read More

‘Ukweli mchungu’! Cheki Simba na Yanga zinavyoteseka

IPO methali ya Kiswahili isemayo “Ukweli mchungu” ikiwa na maana kwamba wakati mwingine kusema ukweli huleta maumivu, huzuni au hali ngumu kwa mtu anayekubali au anayeambiwa ukweli husika. Hata hivyo, ingawa ukweli unaweza kuumiza ni bora kuliko kudanganywa au kufichwa ukweli kwa sababu katika muda mrefu ukweli ndiyo unaoleta suluhisho la kudumu. Kunani kwani? Licha…

Read More

Kijana wa Kitanzania abuni mfumo wa AI, maajabu yake

Dar es Salaam. Wengi wanaoitaja Tanzania kuwa ina utajiri wa rasilimali, huorodhesha  vitu kama vile, ardhi, vito vya thamani, uoto wa asili na vinginevyo. Wanachosahau  ni kuwa nchi hiyo kubwa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki, ina rasilimali watu wanaokuna vichwa vyao barabara. Katika orodha hiyo, yumo kijana Noel Sebastian (24) mkazi wa Gongolamboto, Dar es…

Read More

Hizi hapa fani zinazopendwa na wengi vyuo vikuu

Dar es Salaam. Wakati dirisha la kuomba udahili kwa wanafunzi wa vyuo vikuu likifunguliwa rasmi, takwimu zinaonyesha fani nne ndiyo zinazopendwa zaidi na wanafunzi. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) zilizotolewa Mei 2025, takribani asilimia 70 ya wanafunzi waliojiunga na vyuo vikuu mwaka 2024/2025  walichagua masomo ya biashara, elimu, sayansi…

Read More

Simba Queens kuanza upya | Mwanaspoti

KOCHA msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi amesema kipindi cha usajili kinachoendelea kwa sasa, wanafumua kikosi hicho na kuingiza sura nyingi chipukizi, lengo ni kutengeneza ushindani wa ndani na nje. Mgosi alisema mipango ya Simba Queens msimu ujao ni mikubwa baada ya uliyoisha 2024/25 kushika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu ya…

Read More

Siku tano za Makalla kupoza joto la uchaguzi CCM Dar

Dar  es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ametumia ziara ya siku tano Mkoa Dar es Salaam kufanya mikutano ya ndani. Hiyo ilikuwa ziara ya tatu ya Makalla kuifanya katika mkoa huo tangu kuchaguliwa kuwa mlezi wa mkoa huo kichama, ya kwanza aliifanya kwenye maandalizi ya kuelekea…

Read More