Sababu kimbunga Hidaya kukosa nguvu ghafla

Dar/Mikoani. Shughuli za usafiri, usafirishaji na uvuvi zikiwa zimerejea katika baadhi ya maeneo huku athari zaidi za kimbunga Hidaya zikitajwa, wataalamu wa masuala ya hali ya hewa wameeleza siri ya kimbunga hicho kukosa nguvu ghafla. Kimbunga Hidaya kilichoanza kutolewa taarifa za tahadhari Mei 1 kikiwa na kasi ya kilomita 65 kwa saa, safari yake ilianza…

Read More

Mvua yasababisha watu 400 kukosa makazi Ifakara

Morogoro. Mvua kubwa iliyonyesha mfululizo kwa zaidi ya saa 72 katika mji wa Ifakara wilayani Kilombero imesababisha mafuriko ambapo  watu zaidi 400 wamekosa makazi baada ya nyumba zao kujaa maji na nyingine kubomoka. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Mei 5, 2024, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Danstan Kyobya amesema mafuriko hayo yamesababishwa na kujaa kwa…

Read More