Dodoma Jiji yasajili beki kutoka Coastal Union

HABARI zinabainisha kwamba Dodoma Jiji imekamilisha usajili wa beki Mukrim Issa aliyekuwa akiitumikia Coastal Union tangu mwanzo wa msimu huu. Beki huyo alikuwa akiichezea Coastal Union kwa mkopo akitokea Singida Black Stars na sasa amepelekwa tena Dodoma Jiji kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Singida Black Stars kimeliambia…

Read More

Sh2.5 bilioni kujenga stendi ya kisasa Chunya

Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, imeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa yenye uwezo wa kuchukua mabasi 100 kwa siku na vibanda 300 vya biashara. Mradi huo unakadiriwa kugharimu zaidi ya Sh2.5 bilioni na utakamilika Septemba mwakani. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Januari 6, 2025, Mwenyekiti wa Halmashauri ya…

Read More

Kwa nini Kinana alirudisha majeshi CCM, kujiuzulu?

Julai 29, 2024, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Abdulrahman Kinana kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara. Uamuzi kama huo ulikuwa Mei 28, 2018, Kinana aliandika barua ya kujiuzulu ukatibu mkuu wa CCM kwa mwenyekiti wa wakati huo, Rais John Magufuli. Hata hivyo, Aprili mosi, 2022…

Read More

MRAMBA AONYA WANAOTEMBEA NA MAJINA YA WAGOMBEA MIFUKONI

Na Khadija Kalili Michuzi Tv KATIBU wa Siasa,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),David Mramba ametoa onyo kali kwa baadhi ya wanachama wake kwa watu walioanza kampeni kabla ya wakati wa uchaguzi huku baadhi ya wanachama wake wakitembea na majina ya wagombea mifukoni mwao kua watachukuliwa hatua kali za kwenda kinyume na maadili. “Nasema…

Read More

Ilichobaini polisi matukio matatu ya utekaji, watu kupotea

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma kuhusu matukio matatu ya watu kutekwa au kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kukutwa wakiwa wameuawa. Taarifa hiyo iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime leo Jumamosi Agosti 24, 2024, imetolewa kukiwa na matamko kadhaa kutoka kwa umma, ukilitaka kutoka hadharani kuzungumzia matukio…

Read More

Wapalestina waukimbia mji wa Rafah – DW – 08.05.2024

Licha ya mayowe kutoka kwa jamii ya kimataifa kupinga mashambulio hayo ya ardhini, Israel ilipeleka vifaru vyake katika mji wa Rafah hapo jana Jumanne na wanajeshi wake wakakiteka kivuko kinachounganisha mji wa Rafah na Misri ambacho ni njia kuu ya kupitishia misaada kwenda katika eneo lililozingirwa la Palestina. Soma Pia: Guterres asema kushambulia Rafah itakuwa janga…

Read More