Kinana alivyojibu hoja nne za Chadema, Lissu afafanua

Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa CCM -Bara, Abdulrahman Kinana amewajibu Chadema kuwa hoja zao za Katiba mpya, sheria za uchaguzi, Rais Mzanzibari na majimbo zimelenga kuwagawa Watanzania. Kinana amesema hayo jana alipozungumza na wana-CCM wa Mkoa wa Dodoma kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete. “Sheria ya uchaguzi iliyopo ni nzuri na bora kuliko sheria zilizopita, na muhimu…

Read More

Lissu afunguka wanaohoji kauli yake kuhusu rushwa Chadema

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameeleza kushangazwa kwake na baadhi ya wanachama na wapenzi wa chama hicho wanaohoji kauli yake ya kupinga rushwa kwenye uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa Mei 2, 2024, Lissu alisema kuna fedha zimemwagwa na…

Read More

Hersi afuata vyuma vipya Congo

Yanga imeanza kwa kasi mbio za usajili na safari hii haitaki kuambiwa, inapanda mwewe kujionea yenyewe ubora wa mastaa inaowataka, yaani kisasa zaidi na unavyosoma gazeti hili Rais wa klabu hiyo, Hersi Said yupo jijini Lubumbashi, DR Congo akiwafuata mastaa wawili wapya. Tuanze na juzi. Hersi alikuwa Uwanja wa Kibasa Maliba akitazama mchezo wa Ligi…

Read More

Hapi: Usipoteuliwa acha nongwa, saidia ushindi wa chama

Iringa.  Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi amewataka wanaCCM ambao hawatateuliwa kwenye chaguzi zijazo kuacha nongwa na badala yake, watulie huku wakielekeza nguvu zao kusaidia ushindi wa chama hicho. Amesema wapo baadhi ya watu ambao huwa wanakosa uvumilivu wasipoteuliwa, hivyo wanaanzisha fitina, jambo ambalo halina uhai kwa chama hicho. Akizungumza na…

Read More

Hersi afuata vyuma kvipya Congo

Yanga imeanza kwa kasi mbio za usajili na safari hii haitaki kuambiwa, inapanda mwewe kujionea yenyewe ubora wa mastaa inaowataka, yaani kisasa zaidi na unavyosoma gazeti hili Rais wa klabu hiyo, Hersi Said yupo jijini Lubumbashi, DR Congo akiwafuata mastaa wawili wapya. Tuanze na juzi. Hersi alikuwa Uwanja wa Kibasa Maliba akitazama mchezo wa Ligi…

Read More

Mgunda: No Chama, No problem

WAKATI mabadiliko ya kikosi cha Simba katika michezo miwili iliyopita ya ligi yakianza kuwavutia baadhi ya wadau na mashabiki wa timu hiyo, kaimu kocha mkuu wa wekundu hao wa Msimbazi, Juma Mgunda anaamini wanaweza kufanya makubwa zaidi katika michezo saba iliyosalia kabla ya msimu 2023/24 kumalizika bila ya uwepo wa baadhi ya mastaa akiwemo Clatous…

Read More