
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA ATETA NA RAIS WA IIA -TANZANIA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban (Katikati), akikabidhiwa tuzo ya shukrani na Rais wa Taasisi ya Wakaguzi wa Ndani Tanzania (IIA), Dkt. Zelia Njeza (Kushoto) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, kwa mchango wake katika kufanikisha Mkutano wa 10 wa Wakaguzi wa Ndani Barani Afrika na kusaidia…