Mufti atoa neno upatu unavyoliza watu

Dar es Salaam. Suala la upatu na mikopo umiza limeendelea kuumiza vichwa vya Watanzania, safari hii Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir akisimuliwa ambavyo amewahi kuokoa watu walotaka kuangamizana kisa michezo hiyo. Mufti Zubeir ameeleza hayo wakati wa futari iliyoandaliwa na Benki kuu ya Tanzania (BoT) jana, akisisitiza kuwa suala la elimu na uadilifu katika…

Read More

Hatari kwa wapenda intaneti ya bure

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, baadhi ya watu hupenda kutumia huduma ya mtandao wa intaneti ya bure (Free Wi-Fi) popote pale wanapoikuta, sababu ikitajwa ni kushindwa kumudu gharama za vifurushi au ni mazoea. Hata hivyo, imetahadharishwa kuwa, kuna hatari ya matumizi ya mtandao wa aina hiyo, hasa simu kupekuliwa bila mwenyewe kufahamu. Mwananchi imezungumza na…

Read More

TAMTHILIA YA NICE TO MEET YOU YAWAKUTANISHA HEMED NA LULU DIVA

Na Mwandishi wetu TAMTHILIA ya ‘Nice to Meet you’ inayowakutanisha waigizaji Lulu Abas ‘Lulu Diva’ na Hemed Suleiman ‘Hemed ‘PHD’ wenye uhasama kuzinduliwa rasmi Novemba 18, mwaka huu. Wawili hao inasemekana walianza tofauti zao tangu walipokuwa lokesheni wakirekodi Tamthilia hiyo iliyowahusisha na ugomvi wao kuendelea hadi kwenye maisha yao ya kawaida. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Viongozi wa CARICOM wanaanza mkutano wa 48 na kujitolea kwa hatua za pamoja juu ya wasiwasi muhimu, wa kawaida – maswala ya ulimwengu

Waziri Mkuu wa Barbados, mwenyekiti wa CARICOM Mia Mottley katika sherehe ya ufunguzi wa Mkutano wa 48 wa Mkutano wa Wakuu wa Serikali wa Caricom. Mikopo: Alison Kentish/IPS na Alison Kentish (Bridgetown, Barbados) Alhamisi, Februari 20, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bridgetown, Barbados, Februari 20 (IPS) – Viongozi wa Jumuiya ya Karibi (CARICOM) wanakutana…

Read More

Waziri Ulega ‘awafyatua’ watumishi mizani

Dodoma. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewasimamisha kazi watumishi wa mizani waliokuwa zamu katika mizani kutoka Tunduma, Mkoa wa Songwe, hadi Vigwaza, Mkoa wa Pwani, kupisha uchunguzi. Agizo hilo limetolewa leo, Alhamisi, Machi 20, 2025, na Waziri Ulega, ambaye ameunda timu ya wataalamu kuchunguza tuhuma zinazowagusa watumishi hao waliokuwa zamu Machi 13, 2025. Hatua hiyo…

Read More

Wanachama CWT wataka kibali cha kuwashtaki viongozi

Dodoma. Wanachama watatu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamefungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, wakiomba kibali cha kufungua shauri la jinai kwa walalamikiwa wanne wakiwamo viongozi chama hicho. Mbali na hilo, Mahakama hiyo imetoa siku 14 kwa walalamikiwa kujibu hoja kabla ya kutoa uamuzi wa kama shauri hilo lifunguliwe au la. Waliofungua…

Read More