Kipa Msudani awadatisha mabosi Azam FC

KIWANGO alichokionyesha kipa wa kimataifa wa Azam FC, Msudan Mohamed Mustafa, kimewashawishi viongozi wa klabu hiyo kuanza mchakato wa kukaa naye mezani kwa ajili ya mazungumzo ya mkataba mpya. Azam FC ilimsajili kipa huyo kwa mkataba wa miezi sita kutoka klabu ya El Merreikh, mkataba ambao unamalizika mwisho wa msimu huu. Alipoulizwa mtendaji mkuu wa…

Read More

AGIZO LA SERIKALI LATEKELEZWA NA  JKT

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua  jiko la gesi katika Kikosi 825 KJ Mtabila, wilayani Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Na Alex Sonna-KASULU VIJIJINI JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeanza kutekeleza agizo la Serikali la matumizi ya nishati…

Read More

JKT waanza safari matumizi nishati safi ya kupikia

Kigoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kushirikiana na Wakala wa Nishati Vijijini (Rea), limeianza rasmi safari ya matumizi ya nishati safi ya kupikia, kwa kufanya tathmini ya miundombinu ya majiko ya vikosi vyake ili kuyabadilishia matumizi kutoka kuni kwenda kwenye nishati safi. Aprili 12, mwaka jana Waziri katika Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano…

Read More

NOTI ZITAONGEA: Mastaa Ligi Kuu watakaokuwa ghali sokoni

SINEMA inayoendelea ya mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis kudaiwa kugoma kuongeza mkataba mpya ndani ya kikosi hicho inatoa picha jinsi shughuli inavyoweza kuwa pevu kwa viongozi wa timu mbalimbali kuwabakisha mastaa wao. Vigogo vya soka la Bara, Simba na Yanga kwenye vikosi kuna mastaa wanaomaliza mikataba mwishoni  mwa msimu huu na baadhi yao ni muhimu…

Read More

Ujenzi wa nyumba Hanang wafikia asilimia 40

Arusha. Wakati ujenzi wa nyumba za waathirika wa mafuriko ya Hanang ukipiga hatua kufikia asilimia 40, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk Jim Yonazi amesisitiza uwekwaji wa anwani za makazi katika eneo linalojengwa nyumba 108 za waathirika hao. Ujenzi wa nyumba hizo unakuja baada ya wakazi wa eneo hilo…

Read More

Wafanyabiashara Coco Beach waeleza magumu ya kimbunga Hidaya

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao eneo la Coco  Beach wameeleza magumu ya  kimbunga Hidaya kilivyodhoofisha biashara zao baada ya wateja kupungua. Biashara zao hazikuwa zikienda sawa kama kawaida kwa sababu ule utamaduni wa watu kwenda kwenye fukwe hizo kupunga hewa haukuwepo kwa siku mbili zilizopita. Kwa kawaida wananchi wanaokwenda kupunga hewa ni miongoni…

Read More

CCM ITAENDELEA KUWA MTETEZI NA MWANGALIZI WA WANANCHI WOTE – DIMWA

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa amesema Chama hicho kitaendelea kuwa mtetezi na mwangalizi wa Wananchi wote. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na kada wa CCM ambaye ni Mkurugenzi mstaafu idara ya umwagiliaji Wizara ya Kilimo Zanzibar Dkt.Ramadhan Aseid Ramadhan huko nyumbani kwake Fuoni. Dkt.Dimwa,amesema lengo…

Read More

Yanga, Mashujaa vita ipo hapa

Yanga inashuka katika mchezo wa leo kusaka pointi tatu ili kuendelea kuusogelea ubigwa wa Ligi Kuu Bara wakati Mashujaa wao wanatafuta ushindi wa kujikwamua kurudi walipotoka. Yanga inaongoza msimamo kwa pointi 62 imebakiza michezo minne kutetea taji lake wakati Mashujaa ipo nafasi ya 14 ikikusanya pointi 23 kwenye mechi 24 ilizocheza. Mchezo huo utakuwa wa…

Read More

Kimbunga Hidaya sio kitisho tena kwa Tanzania. – DW – 05.05.2024

Serikali ya Tanzania imesema kimbunga hidaya kilichopiga katika pwani ya Afrika Mashariki kimeshapoteza nguvu na sio kitisho tena kwa nchi hiyo. Hata hivyo maafisa wameutaka umma kuendelea kuwa na tahadhari kwasababu kimbunga hicho kimesababisha mvua kubwa na upepo mkali,hali itakayoendelea siku nzima ya Jumapili.  Maeneo mengi ya Tanzania Jumamosi yalikosa umeme huku mvua kubwa ikinyesha…

Read More

MBETO AWASIHI WANANCHI ZANZIBAR KUFUATA MAELEKEZO YA MAMLAKA YA HALI HEWA TANZANIA

KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo Zanzibar Khamis Mbeto Khamis, amewasihi Wananchi kisiwani Zanzibar kufuata maelekezo ya kuchukua tahadhari juu ya kimbunga cha ‘’Hidaya’’ yaliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Hayo ameyasema katika mahojiano maalum ambapo ameeleza kuwa kila mwananchi hasa wanaofanya kazi za uvuvi,wanaotumia boti kusafiri bila…

Read More