Mil.600 zatengwa kupeleka umeme Kijiji cha Ijinga – Magu

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewahakikishia wananchi wa Kijiji cha Ijinga kilichopo kwenye kisiwani katika kata ya Kahangara Wilayani Magu mkoani Mwanza kuwa watafikishiwa umeme hivi karibuni baada ya Serikali kutenga kiasi cha Sh milioni 600 zitakazotumika kupeleka umeme wa jua (solar). Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Amesema…

Read More

Hekaheka kimbunga Chido kikiacha balaa Mayotte, Msumbiji

Dar es Salaam. Watu 34 wameripotiwa kufariki dunia Msumbiji baada ya Kimbunga kilichopewa jina la Chido kuipiga nchi hiyo. Mbali na maafa hayo, inaelezwa hadi kufikia jana Desemba 17, 2024, jumla ya watu 174,158 wameathiriwa wameathiriwa namna mbalimbali na wengine 319 kujeruhiwa. Kimbunga hicho kiliipiga Msumbiji tangu Jumapili, Shirika la Umoja wa Mataifa la misaada…

Read More

Wanakimanumanu waitana Mkwakwani | Mwanaspoti

WAKATI African Sports ikiwa katika presha ya kushuka daraja, viongozi na benchi la ufundi wamewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mechi ya mwisho na Transit Camp, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga, Mei 10. Ukiachana na Biashara United iliyoshuka daraja baada ya sare ya bao 1-1, dhidi ya Geita Gold, kwa sasa ni timu…

Read More

Faili zima la winga mpya Mcongo wa Yanga hili hapa

WAKATI mabosi wa Yanga wakiwa mezani kumalizana na mshambuliaji anayemudu kucheza kama winga, Jonathan Ikangalombo, kocha wa zamani wa AS Vita anayotoka nyota huyo wa DR Congo, amefunguka juu ya makali ya mchezaji huyo akisema mabingwa wa Tanzania wamepata mtu wa kutengeneza mabao na kufunga. Kocha Raoul Shungu, aliyewahi kuzinoa Yanga na AS Vita kwa…

Read More

Upepo wawaliza wafuga majongoo bahari, kaa

Unguja. Wakati Serikali ikihamasisha wananchi kujikita kwenye ufugaji wa kaa na majongoo baharini ili kujikwamua kiuchumi, wafugaji hao wameeleza changamoto ya upepo kuwarejesha nyuma katika jitihada hizo. Wafugaji wa kaa na samaki kutoka Chwaka, wamesema upepo unawaathiri na kuharibu miundombinu yao. Wametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Machi 3, 2025, wakati mkuu wa kitengo cha ufugaji…

Read More

Rais wa Urusi afanya ziara nchini China – DW – 16.05.2024

Wakati wa ziara ya Putin nchini China, Xi amemuhakikishia kiongozi huyo wa Urusi kuhusu ushirikiano wa karibu. Vyombo vya habari nchiniChina, vimeripoti kuwa Xi amemwambia Putin kwamba kuimarika kwa uhusiano kati ya mataifa hayo mawili kunachangia katika amani, utulivu na ustawi wa kanda hiyo pamoja na ulimwengu kwa ujumla. Xi asema mahusiano kati ya China…

Read More

Banda aoa mke mwingine, mdogo wa Kiba ndo basi tena

BAADA ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya  Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa. Staa huyu amethibitisha kuachana na mkewe wa kwanza, Zabibu Kiba ikiwa ni moja ya swali linaloulizwa na mashabiki wengi hususani mitandaoni, baada ya kuona picha za harusi yake…

Read More

TFF: Wamrudisha Awesu KMC – Mwanahalisi Online

  KAMATI ya Sheria na hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemaliza utata kwenye Sakata la usajili la mchezaji Awesu Ali Awesu na kueleza kuwa mchezaji huyo ni mali halali ya klabu ya KMC. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea). Uamuzi wa kamati hiyo umekuja kufuatia klabu ya…

Read More