
DKT. YONAZI ASISITIZA KUWEKWA ANWANI ZA MAKAZI NYUMBA ZINAZOJENGWA HANANG
NA. MWANDISHI WETU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba 108 za waathirika wa maafa ya maporomoka ya mawe, tope na miti kutoka mlima Hanang’ yaliyotea Wilayani Hanang’ Mkoani Manyara mwishoni mwa mwaka Jana, 2023. Dkt. Yonazi amefanya…