WAKAZI LOBO WATOA LAWAMA KWA VIONGOZI WA KIJIJI NA CCM KUKACHA MKUTANO WA DIWANI

-Wawatuhumu kuogopa kuulizwa uuzaji wa ardhi Na Mwandishi wetu, Simanjiro  WAKAZI wa Kijiji cha Loiborsiret Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamewashukia Mwenyekiti wa kijiji hicho  Kimaai Saruni na Mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo Aloyce Teme kwa kukacha mkutano wa Diwani wa kata ya Loiborsiret, Ezekiel Lesenga (Maridadi). Wananchi hao wamedai kuwa viongozi hao wamegoma kushiriki…

Read More

Kauli ya Lissu yazidisha fukuto Chadema

Dar es Salaam. Katika hali inayoendelea kufukuta ndani ya Chadema, kufuatia kauli ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Tundu Lissu kwamba kuna fedha zimemwagwa katika uchaguzi wa ndani, kikao cha Kamati Kuu kinachosubiriwa ndio kinatajwa kutegua kitendawili. Kikao hicho ambacho hata hivyo tarehe yake haijapangwa, kinatarajiwa kuwa cha moto, huku hoja ya fedha kumwagwa…

Read More

TIC KUBORESHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI, WAZINDUA KITUO KIPYA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo wa pili kutoka kushoto akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Kituo Maalumu za kurahisisha huduma za Uwekezaji Nchini, Kutoka Kulia ni Meneja Uhusiano wa Azania Bank, Halima Semhunge, Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo…

Read More

Kishindo cha Kimbunga Hidaya | Mwananchi

 Dar/mikoani. Wakati Kimbunga Hidaya kikitarajiwa kupungua nguvu zaidi kuanzia kesho, kishindo cha athari zake  kimeanza kuonekana, baada ya  bei ya samaki kupanda, huku shughuli za usafiri wa majini zikisitishwa. Kupanda kwa bei katika masoko ya samaki bara na visiwani, imeelezwa na wafanyabiashara kuwa ni  mara mbili ndani ya kipindi kifupi. Wavuvi nao wanaelezea ugumu wa…

Read More

Mvua yatikisa Kilwa | Mwananchi

Kilwa. Mvua kubwa inayoendelea kunyesha wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi, imesababisha baadhi ya nyumba kubomoka katika maeneo ya Somanga. Akizungumaza kwa simu na Mwananchi Digital leo Jumamosi Mei 4, 2024, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamedi Nyundo amesema tangu asubuhi mvua ilianza kunyesha ikiambatana na upepo mkali uliokuwa unavuma kuelekea maeneo ya pwani ya Bahari…

Read More

Kamati ya Bunge yagomea mwendokasi Mbagala

Dar es Salaam. Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Tamisemi, imegomea mapendekezo ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) ya kutaka kuanza huduma katika barabara ya Mbagala (Kilwa) ifikapo Februari, 2025 ikisema ni mbali na badala yake wahakikishe huduma zinaanza mwaka huu. Sambamba na hilo pia imewaonya kutofanya majaribio tena ya mabasi hayo kipindi cha…

Read More