Kulinda Walio katika Mazingira Hatarishi kwenye Njia ya Maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

Ili kuelewa vyema mabadiliko yanayoendelea nchini Nigeria, Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa Mohammed Malick Fall amekuwa akizuru sehemu mbalimbali za nchi. Credit: UN nchini Nigeria Maoni na Mohammed Malick Fall (Abuja, nigeria) Jumatatu, Septemba 09, 2024 Inter Press Service ABUJA, Nigeŕia, Septemba 09 (IPS) – Kuŕejea Nigeŕia baada ya miaka mitano, nilishangazwa na mabadiliko…

Read More

Kocha wa maafande acharuka | Mwanaspoti

KOCHA wa maafande wa Polisi Tanzania, Mussa Rashid amewaonya mastaa wa timu hiyo kuacha tabia ya kudharau wapinzani wao, kwa sababu kwa kufanya hivyo inawaweka katika mazingira magumu ya kukipambania kikosi hicho kumaliza nafasi nne za juu. Akizungumza na Mwanaspoti, Mussa alisema hata mchezo waliochapwa mabao 3-1, dhidi ya Kiluvya United ulitokana na nyota wa…

Read More

Yanga, Azam zahamisha vita ya Bara Gombani

YANGA juzi usiku ilianza vyema michuano ya Kombe la Muungano kwa kuing’oa KVZ kwa mabao 2-0 na kuungana na Azam FC iliyofuzu mapema kwa kuiondosha KMKM na sasa wanaviziana kuhamishia vita ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba iwapo zitavuka mechi za nusu fainali. Mabao mawili ya kila kipindi yaliyowekwa kimiani na Stephane…

Read More

Cheza Aviator na Ujishindie Samsung A25 na Meridianbet

MABINGWA wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wameleta furaha kubwa kwa wateja wao. Kupitia mchezo maarufu wa kindege cha Aviator, sasa unaweza kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 huku ukiendelea kuingiza faida ya pesa. Hii si promosheni tu, bali ni fursa ya kipekee ya kuongeza msisimko wakati wa kucheza. Mchezo wa…

Read More