Kisa Karia, Manara ahojiwa Polisi, aachiwa

OFISA Habari wa zamani wa Simba na Yanga, Haji Manara ameshtakiwa polisi na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia. Leo Ijumaa, Manara aliitwa na Jeshi la Polisi Tanzania kisha kuhojiwa kwa tuhuma za kumdhalilisha Karia mtandaoni. Manara ambaye ni mwanachama wa Yanga, inaelezwa ametoa maelezo kwa maandishi katika Kituo cha Polisi cha…

Read More

Msimu wa pili tuzo za wanamichezo BMT Juni 9

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Msimu wa pili wa tuzo za wanamichezo bora za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kwa mwaka 2023 , unatarajia kufanyika Juni 9, 2024, zikihusisha wanamichezo waliofanya vizuri Kimataifa ambapo  jumla ya vipengele 16 vitashindaniwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 15, 2024 jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa…

Read More

Azam kutesti mitambo ya CAF mapemaa

KIKOSI cha Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC kipo Kigali, Rwanda kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026 na kuanzia Jumanne ijayo itakuwa na kazi moja ya kutesti mitambo kwa ajili ya mechi za kimataifa. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu Bara 2013-2014, ilianza…

Read More

Rich Panda kutoka Meridianbet ndiyo suluhisho

  MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamekujia na mchezo mpya wa Sloti ya kasino mitandaoni unafahamika kama Rich Panda. Mchezo huu unakupa fursa ya kupiga mkwanja wa kutosha. Ukicheza mchezo wa Rich Panda kutoka Meridianbet unapata fursa ya kujishindia mamilioni kuptia Sloti hii ambayo inabamba zaidi mjini kwasasa. Kwanini Ucheze Rich Panda?…

Read More