Singida FG yajipata, Kyombo atakata Kirumba

Mwanza. Baada ya kuwa na matokeo mabaya kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa hatimaye leo wenyeji Singida Fountain Gate wamepata ushindi muhimu huku mshambuliaji wake, Habib Kyombo akitakata kwa kuifungia mabao mawili. Singida ambayo ilikuwa haijapata ushindi kwenye Ligi Kuu Bara tangu ilipoifunga Namungo bao 1-0 Machi 16, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM…

Read More

Hapi awashukia wazazi malezi ya watoto

Iringa. Katibu Mkuu wa Wazazi Taifa, Ally Hapi amesema moja ya njia ya kupambana na tatizo la ubakaji na ulawiti kwa watoto ni kuwalinda na kutorihusu watembee usiku. Amesema baadhi ya wazazi na walezi wasiojali makuzi ya watoto kiasi cha kuwatuma maeneo tofauti usiku wakati wakijua wanawaweka katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ukatili muda…

Read More

Watu watano mbaroni wakidaiwa kuiba runinga 35

Dar es Salaaam. Wakati matukio ya kuvunja na kuiba vitu mbalimbali vya ndani yakiripotiwa, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Esahu Francis (27) mkazi wa Makumbusho na wenzake wanne kwa kukutwa na runinga 35 za wizi. Mbali na matukio hayo pia Jeshi hilo linamshikilia Javan Changing (36) raia wa Kenya na…

Read More

Michoro ya kale Kondoa kuvuta watalii

Dodoma. Maadhimisho ya Siku ya Urithi wa Dunia kwa Afrika kesho Mei 5, 2024 kuwaleta watalii wa ndani na  nje kwenye michoro ya mapangoni iliyopo Kijiji cha Kolo, Kondoa Irangi mkoani hapa. Michoro hiyo ambayo ni Urithi wa Utamaduni na Malikale imetangazwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (Unesco) kuwa moja…

Read More

Chama atachezaje na Pacome, Aziz Ki Yanga

KILA msimu Clatous Chama ni mchezaji anayesajiliwa na Yanga lakini daima anachezea Simba. Huu ni msemo maarufu kila linapokaribia dirisha la usajili na wakati huu msimu ukikaribia kumalizika, tayari uvumi kwamba nyota huyo wa Zambia huenda akajiunga na timu ya Wananchi umeanza tena.   Ipo hivi; Yanga inatajwa kuwinda saini ya kiungo huyo mshambuliaji ambaye…

Read More

Faida, hasara kwa wanandoa kuchunguzana

Utafiti uliofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) ulibaini simu ni miongoni mwa sababu zinazochangia ndoa nyingi, hasa za vijana wa sasa kuvunjika. Hapa yanahusishwa matumizi ya simu kwa ujumla wake na athari zake kwa wenza, swali linakuja je, kuna haja ya kufuatilia mawasiliano ya mwenza wako ili kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa? Ni…

Read More