Mambo tisa yatakayoamua uchaguzi mkuu Uingereza

London. Raia wa Uingereza wakipiga kura leo kuchagua wabunge, uchaguzi huo unatazamwa kwa sera za vyama vya siasa na jinsi zitakavyoathiri mataifa mengine, hasa ya Afrika, zikiwemo sera za uhamiaji, elimu na mpango wa Rwanda kuwapokea wahamiaji. Masuala mengine yanayopangaliwa katika uchaguzi huo ni pamoja na ukuaji wa uchumi, afya, uhalifu, ulinzi na usalama, makazi…

Read More

Waziri Mkuu: Tanzania imepiga hatua sekta ya mawasiliano

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa kwenye sekta ya mawasiliano na teknolojia ya habari. Amesema kuwa mipango na mikakati iliyowekwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano inakua, imeonesha kuleta matokeo chanya katika maendeleo ya Taifa. “Ninatoa…

Read More

TBA yabuni miradi kuendeleza sekta ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi

  Meneja wa Mkoa wa Dodoma wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA),Mkadiriaji Majenzi, Qs. Emanuel Wambura,akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda TBA kwenye Maonesho ya Kilimo Kitaifa ya Nane Nane, yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni,jijini Dodoma *Yajenga Vihenge vya kuhifadhi mazao katika Mikoa Mitatu Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Dodoma WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA)…

Read More

Adam, Athuman kufukia mashimo TZ Prisons

KOCHA wa Tanzania Prisons, Amani Josiah amesema mapumziko ya Ligi Kuu Bara yamemsaidia kupata muda wa kuwaangalia wachezaji wanahitaji mazoezi ya aina gani, lakini majembe mapya kikosini yatafukia mashimo. Kocha huyo aliyetua kikosini akitokea Geita Gold iliyopo Ligi ya Championship, alisema kitu kikubwa alichofanyia kazi ni utimamu wa miili kwa wachezaji pamoja na mambo ya…

Read More

Qares: Mwenyekiti wa G55 anayekumbukwa kwa misimamo yake

Dar/Mikoani. “Ninaweza kumwelezea Qares (Mateo) kama mmoja wa watu wakweli. Alikuwa na kiwango cha chini sana cha unafiki na hakuogopa kusema kile anachofikiri. Ni watu wachache wanaoweza kusema jambo hata kama halimpendezi mtu, lakini akalisema kwa uwazi.” Ni kauli ya mwanasiasa mkongwe nchini, Jenerali Ulimwengu, akimwelezea Qares, aliyefariki dunia Julai 9, 2025, saa 4:00 usiku…

Read More

CCM yawakaribisha vigogo waliohama Chadema

Morogoro. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewakaribisha kwa mikono miwili makada waandamizi wa Chadema waliotangaza kukihama chama hicho kwa madai ya kuchoshwa na uongozi wa Tundu Lissu ulivyoshindwa kufuata misingi ya kuanzishwa kwa chama hich. Waliotangaza kujivua uanachama wa Chadema leo Jumatano Mei 7,2025 ni pamoja na Salum Mwalimu na Benson Kigaila waliokuwa manaibu katibu wakuu…

Read More