TMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSHIRIKISHA WADAU ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA HALI YA HEWA

…………….. Dodoma; Tarehe 8, Septemba, 2025. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa nchini.  Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa Bodi ya TMA, Mhe. Jaji Mshibe Ali Bakari alisema hayo wakati akifungua mkutano wa 24 wa wadau katika kujadili…

Read More

Aucho apiga hesabu kali, aitaja Yanga

SINGIDA Black Stars jana ilibeba ubingwa wa kwanza wa Kombe la Kagame kwa kuifunga Al Hilal ya Sudan mabao 2-1, katika mechi ya fainali ya Kombe la Kagame 2025, huku nahodha wa timu hiyo, Khalid Aucho amefichua siri iliyomfanya atue kwa wauza alizeti hao akisisitiza mashabiki wajiandae kupata furaha msimu huu. …

Read More

Naibu Waziri Chande aipa kongole benki ya Mkombozi.

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande ameipongeza Benki ya Biashara ya Mkombozi,kuwa imepanda kutoka hatua moja kwenda nyingine ndani ya muda mfupi huku amewasihi watendaji wa Benki hiyo kutoridhika na hatua waliyofikia, badala yake waendelee kufanya uhamasishaji ili kuifanya Mkombozi Benki iendelee kukua. Akizungumza Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande katika Hafla ya Mkombozi Benki…

Read More

UOGA WA WAANDISHI KUSHINDWA KUFANYIKA HABARI ZA UCHUNGUZI NCHINI

AMIDI Shule kuu ya uandishi wa habari na mawasiliano kwa umma, Dkt. Mona Mwakalinga amesema sababu inayopelekea kushindwa kufanyika habari za uchunguzi nchini ni uoga ambao umewakumba waandishi walio wengi. Amesema uandishi wa uchunguzi ni muhimu kwani unawawajibisha walioko kwenye mamlaka kwani wakienda kinyume habari za uchunguzi zitawamulika, Ameyasema hayo leo Agosti 30, 2024 katika…

Read More

Kutojua sheria kulivyomkosesha Sh505 milioni za Tanesco

Arusha. Kama sio kutoijua sheria vizuri, pengine Clara Kachewa angepata kifuta machozi cha Sh505 milioni alichokuwa akilidai Shirika la Umeme (Tanesco), baada ya kupigwa shoti ya umeme iliyosababishwa na waya wa umeme ulioangukia kwenye nyumba yao Tabata Dar es Salaam. Ajali hiyo ya umeme imemsababishia Clara Kachewa madhara ya kudumu ya kupoteza kumbukumbu. Kutokana na…

Read More

Nne Bara bado hakijaeleweka | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiingia raundi ya sita hadi sasa kati ya timu 16 zinazoshiriki msimu huu ni nne tu ambazo hazijaonja ladha ya ushindi. KenGold inayoshiriki Ligi Kuu Bara kwa msimu wa kwanza, kichapo cha juzi cha bao 1-0, ilichokipata kutoka kwa Yanga kimeifanya timu hiyo ya Mbeya kupoteza michezo yote mitano iliyocheza hadi…

Read More

Dola bilioni 2.2 zaahidiwa kwa ajili ya nishati safi Afrika – DW – 15.05.2024

Shirika la kimataifa la Nishati IEA limetangaza kuwa dola bilioni 2.2 za kimarekani zimeahidiwa na makampuni na serikali ili kuboresha upatikanaji wa nishati safi na salama barani Afrika. Taarifa hiyo imetolewa baada ya kumalizika kwa mkutano wa kilele uliowakutanisha pamoja viongozi wa mataifa 60 mjini Paris, Ufaransa. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alikuwa miongoni mwa…

Read More

Askari waliomuua muuza madini wahukumiwa kunyongwa

Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara, imewahukumu kunyongwa hadi kufa maofisa wawili wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamisi (25), mkazi wa Kijiji cha Ruponda, Wilaya ya Nachingwea, Mkoa wa Lindi. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Juni 23, 2025 na Mahakama Kuu Kanda ya…

Read More