Lwandamina: Kwa Yanga hii mtakoma!

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema timu hiyo itaendelea kutawala endapo wapinzani wao hawatakuwa na mikakati mizuri. Raia huyo wa Zambia aliyewahi kuifundisha Yanga kwa misimu miwili kuanzia 2016-2018 alisema, sababu kubwa inayochangia timu hiyo kufanya vizuri kwa misimu mitatu mfululizo ni kutokana na usajili mzuri uliofanywa na viongozi wao kikosini. “Yanga ina…

Read More

Wavuvi waendelea na kazi licha ya tishio la Kimbunga Hidaya

Lindi/Mtwara. Wakati kukiwa na tishio la Kimbunga Hidaya, baadhi ya wavuvi mikoa ya mwambao wa pwani wameonekana wakiendelea na kazi zao kama kawaida. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa kimbunga hicho kikiwa na upepo mkali na kuwatahadharisha watumiaji wa bahari kuwa makini ili kuepuka madhara. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More

Wavuvi Mto Kilombero walia athari za mafuriko

Morogoro. Wavuvi katika Mto Kilombero wameeleza athari walizozipata kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Akizungumza na Mwananchi Digital jana Ijumaa Mei 3, 2024, mwenyekiti wa kambi ya wavuvi katika Mto Kilombero, Amani Timoth ametaja athari hizo kuwa ni kupungua kwa  samaki wakubwa na wale adimu waliokuwa wakiwauza kwa bei ya faida kubwa. “Mto huu ni maarufu…

Read More

HUDUMA YA MWENDOKASI IANZE MBAGALA’ MHE NYAMOGA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti wake, Mhe Lazaro Nyamoga imefanya ziara ya kikazi ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundombinu na uendeshaji wa mabasi yaendayo haraka Akiongea na wananchi wa eneo la Mbagala Kijichi Mhe.Nyamoga ameitaka serikali kuhakikisha wanapeleka huduma ya mabasi katika…

Read More

Kada ya wanadiplomasia yanukia, Serikali yatoa neno

Arusha. Katika utekelezaji wa mkakati wa diplomasia ya uchumi, Serikali inatarajia kuanzisha mpango wa kujenga kada ya wanadiplomasia wenye uwezo mkubwa nchini. Imesema mpango huo unalenga kusaidia nchi kuwa na rasilimali watu mahiri na wenye ujuzi, maarifa na weledi wenye kuweza kushindana na wanadiplomasia kutoka katika mataifa mengine katika maswala ya kiuchumi. Hayo yameelezwa jana…

Read More

Sakata la Kibu kugomea mkataba Simba, udalali watajwa

Habari ya mjini kwa sasa ni kuhusu Kibu Denis ‘Mkandaji’. Ni kiungo mshambuliaji wa Simba anayemaliza mkataba wake kwa Wekundu wa Msimbazi hao na ameziingiza timu hizo kwenye vita kubwa na picha lake linatisha. Simba inataka kumwongezea mkataba. Yanga inataka kumhamishia kwa Wananchi. Ihefu nao wamemwambia aachane na timu za Kariakoo aendee akatulie mkoani na…

Read More

Aliyekuwa Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo afariki dunia

Dar es Salaam. Aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa, Mustafa Mkulo amefariki dunia jana Mei 3, 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa ya kutangaza kifo chake iliyotolewa na familia yake, msiba upo nyumbani kwa marehemu Mikocheni jijini Dar es Salaam. Maziko yake yanatarajiwa kufanyika nyumbani…

Read More