Afariki dunia kwenye nyumba ya kulala wageni

Njombe.  Erasto Raphaely (50), mkazi wa Kijiji cha Igelehedza kilichopo Kata ya Ilembula, Wilaya ya Wanging’ombe, amefariki dunia katika mazingira yanayotajwa kuwa ya kutatanisha akiwa ndani ya nyumba ya kulala wageni pamoja na mwanamke anayedaiwa kuwa mke wa mtu. Tukio hilo limetokea saa mbili usiku wa Jumapili ya Juni 8, 2025, ambapo marehemu aliripotiwa kuzidiwa…

Read More

Jela miaka minne kwa kumjeruhi mama yake mdogo

Geita. Mahakama ya Wilaya ya Chato imemuhukumu kifungo cha miaka minne na kulipa faini ya Sh3 milioni, Faida Enock mkazi wa Bwanga, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumjeruhi Monica Laurent kwa kumkata na kitu chenye ncha kali na kusababisha kuondolewa kwa vidole vyake vinane vya mikono. Hukumu hiyo ilitolewa Julai 5,2024 na Hakimu…

Read More

Mkuranga kinara wizi wa shaba kwenye transfoma

Dar es Salaam. Wizi wa nyaya za shaba zilizo ndani ya transfoma zimelisababishia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) hasara ya Sh700.5 milioni katika kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2024 kufuatia kuharibiwa kwa transfoma 63. Kati ya transfoma hizo 63 zilizoharibiwa, Wilaya ya Mkuranga inaoongoza kwa kurekodi matukio 36 ya uharibifu huo ikifuatiwa na mikoa…

Read More

Chanzo watendaji SMZ kutoelewana ofisini chatajwa

Unguja. Licha ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi kukemea viongozi wa umma kugombana ofisi, bado changamoto hiyo imeendelea kuibuka na kukwamisha kazi za umma. Akizungumza katika kongamano la pili la kiimani kwa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) lililofanyika ukumbi wa Idrissa Abdulwakil Kikwajuni, Zanzibar…

Read More

Auawa kisa ushabiki wa dabi ya Simba, Yanga Songwe

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamtafuta Evacery Mwaweza mkazi wa Kitongoji cha Ululu kiijiji cha Idiwili kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Zabroni Mwambogolo (28) mkazi wa kitongoji hicho wakati wakiangalia mpira wa Simba na Yanga. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatano Septemba 17,2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

MAMA ALIWA NA MAMBA NAMTUMBO

Na Yeremias Ngerangera…..Namtumbo Mama Mmoja aitwaye Mwajibu ALifa (58) Mkazi wa kitongoji Cha Muungano katika Kijiji Cha Mtonya Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma alikamatwa na mamba siku ya jumapili katika mto Luegu alipoenda kuchota maji ya kunywa na Kisha kutokomea Naye ndani ya maji . Diwani wa kata ya Likuyu Kassimu Gunda alisema msako wa wananchi…

Read More

Rais Samia: Bara la Afrika linahitaji mshikamano

Angola. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema bara la Afrika linahitaji mshikamano wa pamoja ili liweze kuwa imara na kuheshimika. Samia aliyasema hayo jana Jumanne, Aprili 9, 2025 wakati akilihutubia Bunge la Angola akiweka historia ya kuwa Rais wa kwanza mwanamke kulihutubia Bunge hilo. “Giza linaloonekana katika bara letu ni kielelezo kuwa tunahitaji kuwa…

Read More

Marufuku ya Kihistoria ya Ndoa za Utotoni nchini Kolombia – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Fundación Plan/Instagram Maoni na Ines M Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatano, Januari 08, 2025 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Jan 08 (IPS) – Kolombia imeadhimisha hatua ya kihistoria katika kampeni ya kimataifa dhidi ya ndoa za utotoni, huku Seneti ikiipitisha moja ya Amerika ya Kusini na Karibiani. marufuku ya kina zaidi kuhusu ndoa za utotoni…

Read More