TASAC yatoa tahadhari ya Kimbunga ,HIDAYA,

Na Mwandishi Wetu Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limepokea taarifa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kuhusu uwepo wa kimbunga “HIDAYA” katika Bahari ya Hindi mashariki mwa pwani ya nchi yetu. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TASAC ilisema Kimbunga “HIDAYA” kimeendelea kuimarika na kusogea kuelekea maeneo ya pwani…

Read More

LIGI MBALIMBALI ZA PESA KUENDELEA LEO

IJUMAA ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet tayari wamekuwekea ODDDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000. Ingia meridianbet na usuke mkeka wako hapa. EPL leo hii kutakuwa na mechi moja ambayo Luton Town atakuwa mwenyeji wa Everton ambao wametoka kushinda mechi yao iliyopita. Mwenyeji anahitaji pointi tatu leo ili ajiweke kwenye nafasi…

Read More

ACT yachambua bajeti kilimo, yatoa mapendekezo

Dar es Salaam. Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo mbalimbali kwa Serikali ya Tanzania ili kuboresha sekta ya kilimo ikiwemo kuweka mfumo wa kodi unaoeleweka utakaohakikisha mkulima anabaki na sehemu kubwa ya mapato baada ya kuuza mazao yake. Mbali na hilo, chama hicho kimeishauri pia Serikali kupunguza utitiri wa kodi, ushuru na tozo kwenye mazao….

Read More

Matukio ya ubakaji yazidi kutikisa Mwanza

Mwanza. Kutokana na hali kuendelea kuwa mbaya ya ukatili wa kijinsia nchini, imeelezwa kuna haja ya kuendelea kutoa elimu ya kina kwa wananchi ya namna ya kuzuia matukio hayo yasiendelee kutokea. Katika Mkoa wa Mwanza pekee, imeelezwa matukio ya ubakaji yanazidi kuongezeka na mpaka sasa, matukio 537 yameripotiwa katika kipindi cha miaka miwili kuanzia 2022…

Read More