Camara ajadiliwa Simba, mabosi watoa msimamo

KIKAO cha mabosi wa Simba kimefikishiwa makosa aliyofanya kipa Moussa Camara yalivyoigharimu timu msimu uliomalizika, kisha ukafanyika uamuzi juu ya nyota huyo raia wa Guinea. Camara ambaye alitua Simba mwanzoni mwa 2024-2025 akitokea Horoya ya Guinea ndiye amekuwa kipa namba moja kikosini baada ya Ayoub Lakred kuwa na majeraha ya muda mrefu na kuondolewa kwenye…

Read More

CALTEX YAZINDUA BIDHAA MPYA YA HAVOLINE EZY 4T PLUS

::::: Imeelezwa kuwa Masuala ya usalama barabarani kwa waendesha pikipiki na bajaji yamepewa uzito mpya kufuatia uzinduzi wa kilainishi kipya cha Caltex Ezy 4T Plus, kilichozinduliwa rasmi wilayani Temeke, Dar es Salaam, huku Jeshi la Polisi likitumia fursa hiyo kutoa elimu kwa waendeshaji hao. Akizungumza wakati wa tukio hilo, Mkuu wa Usalama Barabarani Chang’ombe, Reverent…

Read More

Waziri Mkuu wa China LI inahitaji mshikamano, amani na ustawi wa pamoja wa kiuchumi katika anwani ya UN – maswala ya ulimwengu

“Mshikamano unainua kila mtu, wakati mgawanyiko unashuka,” Bwana Li aliliambia Mkutano Mkuu, akionya kwamba unilateralism na ulinzi zilikuwa zikidhoofisha agizo la kimataifa lililojengwa zaidi ya miongo kadhaa. Ubinadamu, alisema, “kwa mara nyingine tena amekuja kwenye njia panda.” Waziri Mkuu Li alikumbuka kushindwa kwa Fascism na kuanzishwa kwa miongo nane ya UN iliyopita, akisema masomo ya…

Read More

Standard Chartered Bank Tanzania Hosts Annual Beach Clean-Up to Champion Sustainability and Celebrate World Environment Day

Dar es Salaam, 14 June 2025 — Standard Chartered Bank Tanzania, in partnership with Nipe Fagio, successfully conducted its annual employee volunteering beach clean-up on Saturday, 14 June 2025, at Rungwe Beach in Dar es Salaam. The event, which drew the participation of over 70 bank staff and their family members, was held in honour…

Read More

VIONGOZI WA DINI NACHINGWEA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea mhandisi Chionda Kawawa amewaomba viongozi wa dini kuhamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha na kujitokeza kugombea na kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa/vijiji na vitongoji unaotakiwa kufanyika 27/11/2024.Viongozi wa dini na Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea wapata semina ya namna gani ya kuhamasisha wananchi wajitokeza kujiandikisha kwenye…

Read More

DOTTO BITEKO AITAKA TLS KUENDELEZA MSHIKAMANO NA KUISHAURI SERIKALI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania, Dotto Biteko, ametoa wito kwa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kuchagua viongozi watakaolinda mshikamano wa chama hicho. Aliwasihi wanasheria hao kuchagua viongozi wenye kiu ya kuishauri na kuikosoa serikali, jambo ambalo TLS imekuwa ikilifanya. “TLS mnalo jukumu kama chama kuchagua viongozi watakaoendeleza mshikamano wa chama chenu, watakaokuwa na kiu…

Read More

JAMII YAHIMIZWA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO

……………………… Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam 15/09/2025 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imepokea msaada wa shilingi milioni  250 kutoka kwa BAPS Charity Tanzania fedha  zitatumika kulipia matibabu ya moyo ya watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kiuchumi.   Akipokea msaada huo jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo…

Read More

Kagame Cup yaanza kinyonge Dar

PAZIA la mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) 2024 linafunguliwa leo ikiwa ni mara ya kwanza katika historia kwa mashindano hayo kufanyika Tanzania bila uwepo wa Simba na Yanga. Tangu mashindano hayo yalipoanza mwaka 1967 yamefanyika Tanzania mara 19 na kati ya hizo, hakuna awamu ambayo Simba na Yanga zilikosekana…

Read More