TBS YAWATAKA WAFANYABIASHARA WA VIPODOZI KUSAJILI BIDHAA HIZO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wafanyabishara wa bidhaa za vipodozi kuhakikisha wanasajili bidhaa zao , kuthibitisha ubora wake pamoja na kusajili maeneo yanayohusika na uzalishaji, uuzaji na uhifadhi kwa mujibu wa matakwa ya sheria ya viwango Sura ya 130 ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza. Wito huo umetolewa leo Mei…

Read More

Watuhumiwa kulinda bangi wanazolima kwa ‘bunduki’

Dodoma. Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya (DCEA), imewakamata watu 18 kwa kuhusika na kilimo cha bangi huku wawili kati yao wakikamatwa na magobore waliyokuwa wakiyatumia kulinda mashamba hayo. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Machi 3, 2024 na Kamishna Msaidizi wa DCEA, Kanda ya Kati Mzee Kasuwi wakati akikabidhi silaha mbili kwa Kamanda…

Read More

Kimbunga Hidaya chapandisha bei ya samaki Mtwara, Lindi

Mtwara/Lindi. Athari za Kimbunga Hidaya zimeanza kuonekana katika mikoa ya Mtwara na Lindi baada ya wavuvi wengi kushindwa kufanya kazi na kusababisha bei ya samaki kupanda. Wavuvi wanasema hawangeweza kuingia baharini kwa tayari kuna upepo mkali na mvua za rasharasha zilizoanza kunyesha. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa Mei 3, 2024, Mwenyekiti wa Wavuvi katika…

Read More

Kimbunga, mvua kubwa mikoa 20 yatarajiwa usiku wa leo

Dar es Salaam. Wakati hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya mikoa ya ukanda wa Pwani na Kusini unaosababishwa na kimbunga Hidaya, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imesema mvua zinatarajia kunyesha katika maeneo mbalimbali kuanzia usiku wa leo. Taarifa ya TMA ya saa 24 zijazo imeonyesha mikoa 20 inatarajiwa kupata mvua kuanzia…

Read More