Kisaka  ala shavu  Alliance | Mwanaspoti

BAADA ya kumaliza kozi ya Leseni ya Diploma A ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Kocha Ally Kisaka amelamba shavu kwa kuongezewa mkataba wa mwaka mmoja na Alliance FC ya jijini hapa inayoshiriki First League. Mzanzibari huyo aliyewahi kuzinoa Geita Gold, Pamba na Stand United aliisaidia Alliance FC kubaki kwenye ligi hiyo msimu uliopita baada…

Read More

Korti yaitupa kesi dhidi ya CAG, Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Dodoma. Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na mwanaharakati Alphonce Lusako dhidi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akipinga malipo ya Sh7.6 bilioni haina mashiko, hivyo imeitupa. Kupitia kesi namba 16 ya 2023, Lusako alikuwa akipinga malipo ya fedha hizo zilizotumwa kwa sekretarieti ya Mkoa wa Mwanza kwa…

Read More

Fadlu Davids aweka mtego Ligi Kuu Bara

SIMBA waliitaka mechi ya leo dhidi ya Pamba Jiji na wamepatiwa baada ya hapo awali Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuitoa katika tarehe iliyopangwa ili kuipa nafasi zaidi timu hiyo kujiandaa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi dhidi ya Bravos. Kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davids aliona kukaa wiki mbili…

Read More

Polisi washikilia wanne vurugu za uchaguzi Tanga

Tanga. Watu wanne wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakidaiwa kufanya vurugu kwenye vituo vya kupigia kura kwenye Wilaya za Pangani na Tanga mjini, wakati upigaji kura ukiendelea. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Novemba 27, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, ACP Almachius Mchunguzi amesema wananchi hao wamekamatwa kwa kosa…

Read More

Fyatu ‘kuchangisha’ matrilioni ya kampeni

Japo mie na chata letu tumepiga njuluku za mafyatu hata kabla ya dunia kuumbwa, lazima tuzidi kuwafyatua ili wasitufyatue. Hakuna wakati mzuri wa kufyatua njuluku za mafyatu hasa wale mafisi na mafisadi kama huu. Kwa vile huu ni wakati wa kupika kura ya kula, lazima wasaka kura ya kula waliwe na wapika kura ya kula….

Read More

Madiwani walia uchakavu Shule ya Msingi Litembe

Mtwara. Zaidi ya wanafunzi 260 wa Shule ya Msingi Litembe iliyopo katika Kata ya Madimba Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara wako hatarini kutokana na uchakavu wa majengo wanayotumia. Akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo Novemba 8, 2024 Diwani wa Kata ya Madimba, Idrissa Kujebweja amesema hatua za haraka zisipochukuliwa kuiboresha, shule hiyo…

Read More