Mambo moto Kriketi ya Dunia U19

TIMU za kriketi kutoka mataifa manane ya Afrika zinaanza kuwasili jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya michezo ya kufuzu ushiriki wa Kombe la Dunia kwa vijana wa umri wa chini ya miaka 19. Moja ya mataifa hayo ni Nigeria ambayo wataanza kampeni ya kusaka tiketi kwa kucheza na wenyeji Tanzania katika mechi itakayopigwa…

Read More

Wagombea urais NLD, Makini, UPDP waanika vipaumbele vyao

Dodoma. Wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameendelea kuchukua fomu huku wakianika vipaumbele na mikakati ya kuwapeleka Ikulu. Leo Jumapili, Agosti 10, 2025, ilikuwa siku ya pili tangu pazia la kuchukua fomu hizo lilipofunguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), na mpaka sasa jumla ya vyama sita vimeshachukua fomu. Wagombea…

Read More

Judi:Wasichana jifunzeni Unyoaji Nywele za Kiume

 Mwalimu wa Urembo Chuo VETA Shinyanga  Judi Mwita akionesha umahiri wa kunyoa kwenye Banda la VETA. *Kusema kazi za wanaume ni ndio kufanya kuwepo kwa mfumo dume. Na Mwandishi Wetu   MWALIMU wa Urembo wa Chuo cha VETA Shinyanga Judi Mwita  amesema kuwa wasichana wajifunze masuala ya Urembo ikiwemo unyoaji nywele za kiume kutokana na kuwepo…

Read More

Dosari zasababisha kesi ya ubakaji kwa genge kusikilizwa upya

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Bukoba imebatilisha na kufuta adhabu ya kifungo cha maisha jela waliyohukumiwa washtakiwa wawili baada ya kutiwa hatiani kwa ubakaji wa genge. Uamuzi wa Mahakama umetokana na kubainika dosari za kisheria, huku ikiamuru kesi irejeshwe Mahakama ya chini na isikilizwe mbele ya hakimu mwingine mwenye mamlaka. Pia imeamuru kuchunguza umri wa…

Read More

Wananchi, wasomi wakoleza mjadala uongezwaji majimbo

Dar es Salaam. Wananchi na wasomi wamekoleza mjadala wenye mitazo tofauti kuhusu nyongeza ya majimbo mapya manane yaliyotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), baadhi wakisema hatua hiyo inakwenda kuongeza mzigo kwa walipakodi. Pia wapo waliopongeza uamuzi huo, wakisema utawezesha wabunge kuwafikia wananchi kwa urahisi na kuchukua kero zao. Mei 12, 2025 Mwenyekiti…

Read More

UCHAGUZI WA MBUNGE WA EALA KUFANYIKA AGOSTI 27, 2024

Katibu wa Bunge anatoa Taarifa kwa Umma kwamba Uchaguzi wa Mjumbe Mmoja (1) atakayejaza nafasi wazi ya Kundi la Wanawake kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki, utafanyika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Mkutano wa Kumi na Sita unaotarajiwa kuanza…

Read More

Simba Queens twenzetu fainali | Mwanaspoti

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michuano ya Klabu Bingwa kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), Simba Queens inashuka tena uwanjani leo kuvaana na Kenya Police Bullets katika mechi ya nusu fainali ikiwa vita ya kusaka tiketi ya kucheza Klabu Bingwa Afrika kwa mara ya pili. Pambano hilo litapigwa kwenye Uwanja wa Abebe Bikila baada…

Read More