Mgunda aanza kuhesabu, Simba ikibakisha nne

KAIMU kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amepata ushindi wake wa kwanza na mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Mgunda alianza kwa sare ya mabao 2-2 akiwa Ruangwa mkoani Lindi mbele ya Namungo katika mchezo wake…

Read More

Gaza bado inakabiliwa na kitisho cha njaa – DW – 03.05.2024

Muwakilishi wa Shirika la Afya Duniani katika maeneo ya Palestina Rik Peeperkorn amesema kuwa chakula zaidi kimewasili katika Ukanda wa Gaza katika wiki za hivi karibuni, lakini akaonya kwamba kitisho cha njaa bado hakijatoweka. Peeperkorn ameongeza kwamba ukilinganisha na miezi michache iliyopita, ni wazi kwamba kwa sasa kunapatikana katika masoko ya Gaza, bidhaa muhimu za…

Read More

Mwafaka mgomo wa daladala Tanga – Horohoro Jumatatu

Tanga. Madereva wa mabasi madogo yanayofanya safari zake kati ya Tanga mjini na Horohoro Wilaya ya Mkinga waliogoma jana Mei 2, 2024 kusafirisha abiria, leo Ijumaa Mei 3, 2024 wameendelea na kazi kwa makubaliano ya kutoza Sh3, 500 hadi Jumatatu, pande tatu zitakapokaa kujadiliana. Madereva hao walikuwa wanapinga uamuzi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini…

Read More

Bodi ya Ligi: Tumechukua  tahadhari Kimbunga Hidaya

MWANDISHI WETUBODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imesema imechukua tahadhari muhimu juu ya tishio la kimbunga kinachoendelea kinachojulikana kwa jina la Hidaya. Ofisa Habari wa TPLB, Karim Boimanda amesema kufuatia taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) juu ya tishio la kimbunga hicho kwa upande wao wamechukua hatua kuhakikisha mechi zinazoendelea zinachezwa kwa usalama…

Read More

Namna majitaka yalivyogeuzwa fursa Zanzibar

Unguja. Miaka michache iliyopita, Wazanzibari walikumbwa na maradhi ya mlipuko kama kipindupindu kutokana na mazingira kutokuwa safi. Mwaka 2016 watu 45 walipoteza maisha na 3,000 waliugua kisiwani humo. Hata hivyo, tangu kipindi hicho hakujawahi kushuhudiwa kasi ya ugonjwa huo baada chanjo iliyotolewa na Wizara ya Afya, ikiwa ni msaada kutoka mradi wa Shirika la Umoja…

Read More

Zahera: Matampi ilibaki kidogo acheze Yanga

Kipa wa Yanga Djigui Diarra amepata mshindani wa maana kwenye vita ya ‘cleansheet’ kwenye ligi ambaye ni kipa wa Coastal Union, Ley Matampi, ambaye ni gumzo kwa sasa kutokana na kazi bora. Sasa kocha aliyemleta nchini Mwinyi Zahera amesimulia sakata la usajili wake. Kocha huyo ambaye kabla ya kutua Namungo alitokea Coastal Union anasema; “Tulipokuwa…

Read More

Benki ya NBC Yazindua Huduma Maalum Kuwashika mkono Wastaafu

Na Mwandishi Wetu Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa ajili ya wastaafu inayofahamika kama “Akaunti ya Wastaafu” ama “Pensioners account” ikilenga kutoa huduma za kibenki zenye kutoa vipaumbele kwa kundi hilo la kijamii. Kupitia huduma hiyo iliyozinduliwa mapema hii leo jijini Dar es Salaam,  pamoja na faida nyingine  inatoa fursa ya mikopo mikubwa hadi…

Read More

Atolewa uvimbe wa kilo tano tumboni alioishi nao miaka 10

Geita. “Nimezaa watoto 11 lakini mtoto wangu wa mwisho niliyemzaa mwaka 2010 nilikuwa nipoteze maisha, maana nilitokwa na damu nyingi sana, nikazimia mara tatu na wakati wote wa mimba damu ilikuwa inavuja, sikujua tatizo.” Haya ni maneno ya Eveline Paulo, mkazi wa Biharamulo mkoani Kagera aliyetolewa uvimbe wenye uzito wa kilo tano tumboni. Uvimbe huo…

Read More