Mhadhiri UDSM achaguliwa kuwania ubunge EALA

Dodoma. Kamati ya wabunge wa CCM imemchagua Gladnes Salema kukiwakisha chama hicho katika uchaguzi wa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) utakaofanyika Septemba 5, 2024 bungeni. Dk Gladnes, mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) amewashinda wapinzani wake wawili ambao ni Lucia Pande na Queenelizabeth Makune. Uchaguzi huo uliofanyika leo Jumatatu Septemba…

Read More

Selemani Mwalimu mdogo mdogo Wydad AC

LICHA ya kutopata nafasi kwenye kikosi cha Wydad AC, mshambuliaji wa Kitanzania, Selemani Mwalimu ‘Gomez’ ameanza kuingia kwenye mfumo wa kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu nchini Morocco. Januari 31 nyota huyo alitambulishwa kwa mabingwa hao wa zamani wa Ligi ya Mabingwa Afrika akitokea Fountain Gate alikokuwa anacheza kwa mkopo kutoka Singida Black Stars kwa mkataba…

Read More

Muhimbili yapatiwa vifaatiba vya kisasa kurahisisha upasuaji

Dar es Salaam. Wagonjwa watakaofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, watanufaika na maboresho ya huduma hiyo baada ya Ubalozi wa China, kuipatia hospitali hiyo vifaatiba vya teknolojia ya kisasa, vinavyorahisisha huduma ya upasuaji vyenye thamani ya Sh125 milioni. Upatikanaji wa vifaa hivyo, unaifanya hospitali ya Muhimbili kuingia katika dunia ya uvumbuzi na teknolojia ambayo…

Read More

VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA VIJISAJILI WEZESHA PORTAL

  Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa elimu ya usajili wa vikundi vya huduma ndogo za fedha iliyofanyika katika moja ya darasa la Shule ya Msingi Kipeta, Wilaya ya Sumbawanga Vijijini, mkoani Rukwa. Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa…

Read More

Baba afikishwa mahakamani kwa kumbaka mtoto wake wa kufikia

Dar es Salaam. Mkazi wa Mvumoni jijini hapa Ramadhan Utulo(38), amefikishwa katika mahakama ya Wilaya Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kubaka mtoto wake wa kufikia mwenye umri wa miaka 12. Utulo alifikishwa mahakamani hapo na kusomewa shtaka na Wakili wa Serikali Harrison Lukosi mbele ya Hakimu Irene Josiah. Lukosi alidai mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo…

Read More

Papa ateua askofu msaidizi Jimbo Kuu Katoliki Tabora

Dar es Salaam. Papa Francis amemteua Padri Josaphat Bududu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo Februari 26, 2025 na Padri Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mteule Bududu alizaliwa Machi 26, 1977…

Read More

BIBI HARUSI AGOMA KUFUNGA NDOA BWANA HARUSI AFANYA SHEREHE KUWARIDHISHA WATOA MICHANGO – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.     Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata…

Read More

REA YAENDELEA KUTEKELEZA DHAMIRA YA RAIS SAMIA KWA VITENDO

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umeanza kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha kila Mwananchi anatumia Nishati Safi ya Kupikia. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amesema hayo Jijini Dar es Salaam Septemba 08, 2024 wakati wa uzinduzi wa Kipindi maalum…

Read More

Mvutano mkali kati ya Kagame, Ramaphosa

Mgogoro unaoendelea katika eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeendelea kuibua mvutano mkubwa kati ya viongozi wa Afrika, hususan Rais Paul Kagame wa Rwanda na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini. Matamshi yao makali na shutuma wanazotoa waziwazi zimeweka bayana msuguano mkubwa kati ya mataifa haya mawili yenye ushawishi barani Afrika….

Read More