Kongamano la Uchumi Jumuishi kuwakutanisha wadau Mbeya

KIGODA Cha Uprofesa cha Mwalimu J.K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre), limeandaa kongamano kubwa la kujadili Uchumi Jumuishi kuelekea utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Kongamano hilo litafanyika Septemba 18,…

Read More

RC CHALAMILA ATEMBELEA SOKO LA KAWE AMBALO LIMEUNGUA KWA MOTO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaama Mhe Albert Chalamila ametembelea soko la Kawe ambalo limeungua moto usiku wa kuamkia leo Septemba 15,2025 kuwafariji wafanyabiashara waliopoteza mali zao kutokana na ajali hiyo ambapo ameelekeza Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kutoa kiasi cha shilingi milioni miamoja kama mkono wa pole Akizungumza mara baada ya kutembelea soko…

Read More

Simu ya Ulimwenguni ya Kulinda Wasichana na Kulinda hatima zao – Maswala ya Ulimwenguni

Mapigano dhidi ya dhuluma ya msingi wa kijinsia yanahitaji juhudi za pamoja kutoka kwa serikali, biashara, jamii, na watu binafsi. Mikopo: Shutterstock Maoni na Mariama JobArteh (Serrekunda, Gambia) Ijumaa, Machi 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SERREKUNDA, Gambia, Mar 07 (IPS)-Mnamo Machi 2000, Binta Manneh wa miaka 15 alikuwa na hamu ya kujaribu ustadi…

Read More

Mwinyi Zahera amchomoa Bacca Yanga

UBORA na nidhamu ya mchezo aliyonayo beki wa kati wa Yanga, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ imetosha kumfanya kocha Mwinyi Zahera kumchomoa nyota huyo kikosini hapo huku akimwambia jambo la kufanya. Bacca ambaye amekuwa Yanga tangu mwaka 2022 alipojiunga na timu hiyo dirisha dogo msimu wa 2021/22 akitokea KMKM ya Zanzibar, ametengeneza ukuta imara akishirikiana na Dickson…

Read More

TWENZETU KILELENI MSIMU WA NNE(4) UMEZINDILIWA TENA.

Na Linda Akyoo Kampuni ya ZARA Adventure, iliyoko Moshi mkoani Kilimanjaro, imezindua kampeni ya Twenzetu Kileleni season 4 kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa ZARA Adventure Bi.Zainabu alielezea lengo la kampeni hiyo na jinsi inavyolenga kuchochea utalii wa ndani na kukuza uhusiano kati…

Read More

MTU WA MPIRA: Azam FC inakuja taratibu, ubingwa haupo mbali

NANI anafuatilia maendeleo ya Azam FC? Najua sio watu wengi. Ni wachache sana. Kwanini? Kwa sababu sio timu inayopendwa sana. Mashabiki wengi wa soka nchini wanazipenda Simba na Yanga. Ndizo timu za mioyo yao. Azam ilivyoingia kwenye ligi kwa kishindo mashabiki wachache waliipenda. Wengine waliona ni kama timu yenye fedha imekuja kuzinyanyasa Simba na Yanga….

Read More

Simba yamfuata beki mpya Yanga

DILI la Simba limebuma baada ya kutaka kumnyampia beki wa FC Lupopo, Chadrack Boka, ambaye hawakujua kama tayari ameshamalizana na Yanga. Boka ni mchezaji wa kwanza kusaini Yanga baada ya uongozi wake kukubali kumuuza mchezaji huyo ambaye alibakiza mkataba wa mwaka mmoja na kikosi hicho. Kupitia Mwanaspoti iliandikwa kuwa, Mkongomani huyo atakwenda kuwa mrithi wa…

Read More