CHIKOTA ASHAURI MAMBO MATANO KWENYE ZAO LA KOROSHO

Mbunge wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota,akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2024/25 bungeni jijini Dodoma. Na Mwandishi Wetu, DODOMA Mbunge wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan namna anavyothamini sekta ya kilimo na dhamira ya kuwakomboa wakulima kwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Kilimo kutoka Sh.Bilioni 900…

Read More

Waziri Gwajima kukabidhi nyumba kwa mjane aliyefukuzwa baada ya kugoma kurithiwa.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum, Doroth Gwajima anatarajia kukabidhi nyumba kwa mjane Judith Innocent Luhumbika, aliyekuwa akipitia manyanyaso kutoka Kwa familia ya ndugu wa mumewe, ikiwemo kufukuzwa nyumbani kwake kufuatia kugoma kurithiwa mara baada ya mumewe kufariki. Akizungumza katika nyumba hiyo yenye thamani ya zaidi ya milioni 50, aliyojengewa…

Read More

NMB yazindua akaunti ya Kikundi

Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi yenye  maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Uzinduzi huo umefanyika leo Ijumaa mbele ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima na kuhudhuriwa na wanavikundi zaidi ya 400. Akizungumzia akaunti hiyo Afisa Mtendaji Mkuu, Ruth…

Read More

Wanajeshi wa Urusi waingia kwenye kambi ya Marekani ya Niger – DW – 03.05.2024

Tuelekee huko nchini Niger ambako inaripotiwa kuwa wanajeshi wa Urusi wameingia kwenye kambi ya jeshi la anga inayokaliwa na wanajeshi wa Marekani, haya yanajiri baada ya serikali ya kijeshi ya Niger kuamua kuwatimua wanajeshi wa Marekani katika taifa hilo la Afrika Magharibi. Soma zaidi. Mamia waandamana Niger kushinikiza kuondoka kwa vikosi vya Marekani Kwa muda mrefu…

Read More

Makocha hawa watajwa kumrithi Benchikha Simba

BAADA ya kuondoka kwa Abdelhak Benchikha, timu ya Simba fasta imeanza mchakato wa kutafuta kocha mpya atakayerithi mikoba ya Mualgeria huyo ikipanga kukamilisha ishu hiyo kabla ya msimu huu kumalizika Mei 28, 2024. Kocha wa TP Mazembe, Lamine Ndiaye Mabosi wa Simba walikaa kikao baada ya kuondoka kwa Benchikha aliyesepa na wasaidizi wake Farid Zemit…

Read More

Rais Samia atoa Bilioni 5 kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja-Lindi

Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja. Mvua hizo katika baadhi ya maeneo zilikwamisha shughuli za maendeleo ya Wananchi, na hivyo kuifanya Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kufanya kila linalowezekana kurejesha mawasiliano ya barabara…

Read More