Rais Samia ataka utafiti kutatua changamoto za usalama

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukiwezesha Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) kuhakikisha kinakuwa kituo bora cha tafiti zitakazotatua changamoto za kiusalama duniani. Ametoa ahadi hiyo akieleza Afrika na dunia kwa ujumla inakabiliwa na changamoto nyingi za kiusalama na tafiti ndizo zitakazokuwa jawabu. Kauli ya Rais Samia imetolewa katika kipindi…

Read More

Mchungaji Mono: Nilivyoona taarifa ya uteuzi wangu mtandaoni nilitokwa na machozi

Moshi. Askofu Mteule wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mchungaji Daniel Mono amesimulia namna alivyopokea kwa mshtuko na machozi taarifa za kuchaguliwa kwake kuiongoza dayosisi hiyo, kumrithi mtangulizi wake, Askofu Chediel Sendoro. Mchungaji Mono amepokewa leo Jumatatu, Machi 24,2025 katika dayosisi hiyo ya Mwanga, akitokea Shinyanga alikokuwa akihudumu. Amesema…

Read More

NMB BANK PLC RECORDS IMPRESSIVE TZS 687 BILLION PROFIT BEFORE TAX IN Q3 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

This exceptional performance reflects a 21% year-on-year (YoY) growth compared to the same period in 2023. Profit Before Tax: TZS 687 Billion, up 21% YoYProfit After Tax: TZS 476 Billion, up 19% YoYTotal Assets: TZS 13.4 Trillion, up 16% YoYCustomer Deposits: TZS 9.2 Trillion, up 12% YoYLoans and Advances: TZS 8.4 Trillion, up 19 YoYCost…

Read More

Mo Dewji aweka kitita mezani Simba ikifuzu nusu fainali CAF

MATAJIRI wa Simba wamewaachia wachezaji wao kuamua kuwapeleka Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, baada ya kukutana na kufanya uamuzi ambao Bilionea, Mohammed Dewji MO ameweka mezani mzigo wa maana. Simba ili ifuzu, inatakiwa kufunga mabao matatu kwenye mchezo huo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa huku…

Read More

Uwepo wa SGR unaashiria utoshelevu wa umeme nchini

Imeelezwa kuwa, uwepo wa reli ya kisasa na ya kwanza Afrika Mashariki na kati inayoendeshwa kwa nishati ya umeme (SGR) na yenye mwendo kasi usiopungua kilometa 160 kwa saa ni kiashiria kuwa nchi ina umeme wa kutosha. Hayo yameelezwa leo tarehe 12 Septemba, 2024 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto…

Read More

Ugonjwa uliomuua Mama Makete watajwa

Dar es Salaam. Familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya Kinondoni, Anna Hangaya, maarufu Mama Makete, imesema maradhi ya saratani ya mapafu ndiyo sababu ya kifo cha kada huyo wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Mama Makete ambaye ni mfanyabiashara amekuwa maarufu zaidi kutokana na kauli ya mahaba yake kwa…

Read More

Rais Ruto katika wakati mgumu

Nairobi. Siku moja baada ya maandamano, machafuko na umwagaji damu nchini Kenya, Rais William Ruto alihutubia Taifa akitoa ujumbe ulioonyesha hasira na hisia kali kwa maandamano hayo. Ruto aliyechaguliwa mwaka 2022 akiahidi kupunguza ufisadi, kuimarisha uchumi unaoyumba wa nchi na kusaidia maskini, sasa anakabiliwa na upinzani mkubwa ambao haujawahi kutokea dhidi ya muswada wa sheria…

Read More

Utafiti wafichua sababu mwanamke kulala zaidi ya mwanaume

Dar es Salaam. Kutokana na mwanamke kutumia ubongo wake zaidi, tafiti zimeonyesha anahitaji muda mwingi zaidi wa kupata usingizi ikilinganishwa na mwanaume, huku daktari akitaja sababu chanzo wanawake kuwa na vitambi kuliko wanaume. Mwanamke ametajwa kufanya kazi nyingi na huzifanya kwa mara moja, kwa sababu hutumia zaidi ubongo wake halisi, hivyo huhitaji dakika ishirini zaidi…

Read More

WATAALAM WA AFYA WATAKIWA KUZINGATIA VIAPO VYA TAALUMA

Na Oscar Nkembo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Thomas Lutachunzibwa amewataka wataalamu wa Afya kufanya kazi kwa bidii kwa kuzingatia kiapo cha Taaluma bila kuweka mbele maslahi kwani kiapo cha taaluma hiyo ni maagano na Mwenyezi Mungu. Dkt. Lutachunzibwa ameyasema hayo leo wakati akifunga mafunzo ya siku mbili ya kudhibiti matukio ya Sumu…

Read More