Kupokanzwa Duniani kwa Kasi Kuliko Ilivyotarajiwa, Wanasayansi Wanalia Kengele katika Ripoti ya hivi punde zaidi ya Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Ardhi iliyopasuka, kutokana na ukosefu wa maji na kuoka kutokana na joto la jua, hufanyiza muundo katika Hifadhi ya Mazingira ya Popenguine, Senegal. Credit: UN Photo/Evan Schneider na Umar Manzoor Shah (geneva, Uswisi & Srinagar, india) Jumatatu, Machi 23, 2026 Inter Press Service GENEVA, Uswisi & SRINAGAR, India, Machi 23 (IPS) – Mfumo wa hali…

Read More

Video: Serikali Yatangaza Hatua Kuhakikisha Mafuta Yanapatikana

Bakari Mahundu March 23, 2026 0 Comments Serikali imewahakikishia wananchi uwepo wa akiba ya mafuta ya kutosha nchini, huku ikijizatiti kufanya kila linalowezekana kuhakikisha nishati hiyo inapatikana kwa wananchi. Hayo yameelezwa leo, Jumatatu Machi 23, 2026 na Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, katika kikao na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo zinazohusika na sekta ya…

Read More

Wanne washikwa mkono gofu kimataifa

WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo. Watoto hao wanatarajia kuibeba Tanzania katika mashindano yatakayofanyika kati ya Machi 23 hadi 26 mwaka huu nchini Kenya katika Jiji la Nairobi. Watoto hao wanaoiwakilisha Tanzania ni Ibrahim Juma, Julius James,…

Read More