Shirika la Umoja wa Mataifa laonya kwamba vita vya Ukraine bado ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa nyuklia duniani – Global Issues

Akihutubia Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Bodi ya Magavana, Mkurugenzi Mkuu Rafael Grossi alisema shirika hilo bado linalenga kuzuia ajali ya nyuklia huku mapigano yakiendelea kuhatarisha miundombinu muhimu. “Mgogoro nchini Ukraine unakaribia kuingia mwaka wake wa tano,” Bw. Grossi alisema. “Inaendelea kuwa tishio kubwa zaidi duniani kwa usalama wa nyuklia.” Timu za…

Read More

Uchakachuaji wa tumbaku, wachelewesha bei msimu 2025/2026

Kahama. Uchafuzi wa tumbaku na kuchanganya madaraja, kumetajwa kuathiri uendelevu wa biashara ya zao hilo nchini, pamoja na kusababisha hasara kwa kampuni zinazonunua tumbaku kupitia Chama Kikuu cha Ushirika Kahama (Kacu). Hali hiyo pia imeathiri upangaji wa bei ya tumbaku kwa msimu wa 2025/26, kwenye chama hicho kikuu cha ushirika. Katibu Tawala Wilaya ya Kahama,…

Read More

Wafanyabiashara wadogo waitwa kuchukua mikopo yenye masharti nafuu

Dar es Salaam. Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, imetangaza kuanza kwa utolewaje wa mikopo ya masharti nafuu kwa wafanyabiashara wadogo nchini. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Januari 30, 2026  na Waziri wa wizara hiyo, Doroth Gwajima jijini Dodoma, Serikali inawakaribisha wafanyabiashara wadogo kuchangamkia fursa ya…

Read More

Ni raundi ya lala salama, kisasi Championship 2025/26

BAADA ya kupisha mapumziko ya wiki moja, raundi ya pili ya Ligi ya Championship inaendelea tena leo Jumamosi kwa mechi tatu kupigwa na nyingine kesho Jumapili, huku kila timu ikipambana kwa ajili ya kujitengenezea nafasi nzuri. Maafande wa Transit Camp iliyoshinda mechi ya mwisho kwa kuichapa KenGold bao 1-0, itakuwa kwenye Kituo cha Ufundi cha…

Read More

Rufaa yamwokoa mwanajeshi wa DRC aliyehukumiwa kwa unyang’anyi Tanzania

Bukoba. Askari wa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Seseko Samilukora aliyekimbilia Tanzania kuwakimbia M23 na baadaye kukamatwa na kufungwa miaka 30 jela kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, ameachiwa huru. M23 ambalo linajulikana kama March 23 Movement au Mouvement du 23 Mars, ni kundi lililojitokeza Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo likiendesha mashambulizi dhidi ya majeshi ya Serikali ya…

Read More