RAIS DKT.MWINYI ASISITIZA UMOJA,MAADILI NA MALEZI BORA YA VIJANA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka Waumini wa Dini ya Kiislamu kujipamba na Qurani Tukufu, kuishi kwa kufuata miongozo na mafundisho yake pamoja na kuifanya Qurani kuwa dira ya maisha yao ya kila siku. Alhaj Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 31 Januari 2026 aliposhiriki Mashindano…