Tisa wafariki dunia, 44 wajeruhiwa ajali ya basi na lori Morogoro
Morogoro. Watu tisa wamefariki dunia papo hapo na wengine 44 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Hai kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa limebeba shehena ya sukari katika eneo la Lugono Melala, barabara kuu ya Morogoro–Iringa. Ajali hiyo imetokea wakati magari hayo mawili yalipogongana kwa nguvu, na kusababisha maafa hayo makubwa. Kwa mujibu…