Vifo vinavyohusiana na njaa, kipindupindu, joto kali na dhoruba zinazounda hali ya kibinadamu-maswala ya ulimwengu

Katika El Fasher, mji mkuu wa Kaskazini mwa Darfur ambao umekuwa ukizingirwa kwa miezi 15, hali ya janga la kibinadamu inazidi kuwa mbaya. Uhaba wa chakula na bei za kuongezeka zimelazimisha jikoni zinazoendesha jamii kuzima. Njaa iliyoenea na utapiamlo imeripotiwa kusababisha vifo kadhaa na kuwafanya wakaazi wengine kula malisho ya wanyama. Katika eneo la Tawila…

Read More

UN yaangazia utumiaji silaha wa unyanyasaji wa kijinsia – Masuala ya Ulimwenguni

Agizo hilo lilianzishwa kupitia Azimio la Baraza la Usalama 1888 (2009) ambayo ilitaka kuteuliwa Mwakilishi Maalum wa kuongoza juhudi za Umoja wa Mataifa kushughulikia ubakaji wakati wa migogoro, miongoni mwa hatua nyingine. “Ilitambua hilo kama risasi, mabomu na blade, kuenea kwa matumizi ya utaratibu wa unyanyasaji wa kijinsia huangamiza jamii, huchochea watu kuhama na kusababisha…

Read More

Ukata unavyoweza kukwamisha maendeleo ya EAC

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ni ushirikiano wa kikanda uliolenga kuimarisha mshikamano kati ya nchi wanachama katika nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa. Jumuiya hii ilianzishwa awali mwaka 1967 na nchi tatu za Kenya, Tanzania na Uganda, lakini ikavunjika mwaka 1977 kutokana na tofauti za kisera na kisiasa. Hata hivyo, juhudi za kuifufua zilianza tena…

Read More

Serikali yahamasisha watumishi wa umma kwenda kupiga kura

Dodoma. Serikali imewahamasisha watumishi wa umma kuhakikisha wanashiriki upigaji wa kura siku ya uchaguzi mkuu ili nao watumie haki yao ya kuchagua na kila mmoja anatakiwa kuwa katika kituo alichojiandikishia. Hata hivyo, watakaoshindwa kufika katika vituo walivyojiandikisha wanatakiwa kupiga kura mahali walipo kwa kuchagua nafasi ya Rais pekee kwani inaruhusiwa kwa mujibu wa sheria za…

Read More

Kobe Motor Japan kuongeza idadi ya magari yake soko la Tanzania

Kampuni ya Kobe Motor ya Japan imesema itaendelea kujitanua zaidi katika soko la Tanzania kutokana na kukua kwa mahitaji ya magari ya aina mbalimbali kwa ajili ya mtumizi binafsi na ya kibiashara. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Ikiwa ni moja kati ya makampuni makubwa ya Kijapani yanayouza magari yaliyotumika kutoka Japan sehemu mbalimbali duniani, Kobe Motor…

Read More

Athari ya vitengo vya ushauri na nasaha kusahauliwa shuleni

Ukosefu wa vitengo madhubuti vya mwongozo na ushauri katika shule nyingi nchini, umewaacha wanafunzi wakikabiliwa na changamoto ikiwa ni pamoja na matatizo ya afya ya akili pamoja na msongo wa mawazo ya kitaaluma.  Licha ya maagizo ya Serikali yanayosisitiza umuhimu wa huduma hizi, utekelezaji wake umekuwa ukikwamishwa kutokana na uhaba wa wafanyakazi, uelewa mdogo wa…

Read More

TRA Yatangaza Majina ya Waliokidhi Vigezo kwa Usaili wa Ajira

MAMLAKA ya Mapato Tanzania imetangaza majina 112,952 ya waliokidhi vigezo vilivyowekwa na hivyo kuitwa kwenye usaili wa mchujo wa kuandika huku idadi ya wanaotakiwa kuajiriwa kutoka kada mbalimbali ikiwa ni 1,596. Mapema mwezi Februari mwaka huu,, Kamishna Mkuu wa TRA Yusuph Mwenda akiwa Dodoma alisema wamepokea maombi ya watu 135,027 katika nafasi za ajira zilizotangazwa…

Read More

Punguzo la tozo kicheko kwa wauza madini BoT

Geita. Ni kicheko kwa wauza madini Benki Kuu ya Tanzania (BoT) hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya Tume ya Madini kupunguza tozo kutoka asilimia saba zilizokuwa zikitozwa awali hadi kufikia asilimia 4 kwa wachimbaji wote wanaouza madini yao benki hiyo. Katibu tawala Mkoa wa Geita, Mohamed Gombati ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya…

Read More

Watu 28 wadaiwa kushambuliwa na mamba Mvomero

Mvomero. Watu 28 wa Kijiji cha Lukenge, Kata ya Mtibwa, wilayani Mvomero wanadaiwa kufariki dunia kwa kushambuliwa na mamba katika kipindi cha miaka 25 iliyopita. Hali hiyo imezua hofu kwa wananchi wa kijiji hicho, ambao wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kukomesha mashambulizi hayo ambayo yamewaacha watoto yatima na kusababisha majeraha ya kudumu kwa waathirika. Kati…

Read More