Fadlu ashtukia jambo, ajipanga kivingine

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, ameshtuka kutokana na ugumu aliokumbana nao katika mechi za ugenini hasa kwenye viwanja vigumu na kisha kupanga mikakati mipya ya kuhakikisha wanafanya mambo makubwa kuwapa burudani mashabiki na wapenzi wa timu hiyo sambamba na timu kushinda kiulaini. Simba juzi ililazimika kusubiri dakika za majeruhi kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi…

Read More

MATEMBEZI YA KUADHIMISHA KUZALIWA KWA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA- KIZIMKAZI – MKOA WA KUSINI UNGUJA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja na Taasisi binafsi kwa lengo la kuwaondoshea wananchi changamoto mbali mbali zinazowakabili. Ameyasema hayo katika maadhimisho ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu…

Read More

Wafungwa, mahabusu walioko magerezani kusajiliwa Nida

Dodoma. Serikali itaanza kusajili vitambulisho vya Taifa kwa wafungwa na mahabusu walioko magerezani katika mwaka 2025/26. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Daniel Sillo amesema hayo leo Juni 19, 2024 wakati wakijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Asia Halamga. Asia amehoji Serikali ina mpango gani kuwapa vitambulisho vya Taifa wafungwa pamoja na mahabusu….

Read More

PPAA YAWANOA WAZABUNI KANDA YA KASKAZINI

Katibu Mtendaji wa PPAA, James Sando akifungua mafunzo ya siku mbili (tarehe 10 – 11 Aprili, 2025) kwa wazabuni na wadau wa ununuzi wa Umma kutoka taasisi za Serikali (hawapo pichani) kwa Kanda ya Kaskazini jijini Arusha ****** Na Mwandishi wetu, Arusha Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea na zoezi la kuwajengea…

Read More

Samaki Samaki ilivyosheherekea miaka 17, ni Burudani kwa kwenda mbele

Mgahawa maarufu wa Samaki Samaki, jijini Dar es Salaam, ulitimiza miaka 17 tangu ulipoanzishwa rasmi mwaka 2007. Mgahawa huu, unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu Carlos Bastos, maarufu kwa jina Kalito Samaki, umekuwa na mafanikio makubwa katika sekta ya chakula na burudani nchini Tanzania. Kupitia mafanikio hayo, mwaka 2020, ulizalisha mgahawa mwenza unaoitwa *Kukukuku*, ambao pia jana…

Read More

Wanne Simba wabeba tumaini | Mwanaspoti

SIMBA tayari ipo visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini, huku mastaa wanne wa klabu hiyo wakibeba matumaini ya kuvuka salama katika hatua hiyo ili kutinga fainali ya michuano hiyo ya CAF. Wekundu hao watavaana na Stellenbosch Jumapili…

Read More

Viongozi Manispaa ya Songea wabebeshwa zigo la taka

Songea. Viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma, wameelekezwa kuhakikisha wanatoa kipaumbele kwa kuondoa uchafu unaotoa harufu mbaya kwenye mitaro ya mabucha ndani ya soko kuu kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa eneo hilo. Agizo hilo limetolewa leo Jumatatu, Desemba 9, 2024 na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mary Makondo ambaye pia ni…

Read More

DKT. EGBERT MKOKO: BLOGU ZISITUMIKE VIBAYA UCHAGUZI MKUU

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Mhadhiri wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC), Dkt. Egbert Mkoko, amewataka waendeshaji wa blogu nchini kuepuka kuzitumia vibaya katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza katika mafunzo maalumu ya bloga yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa…

Read More