ACT-Wazalendo yamjibu msajili hoja za Monalisa

Dar es Salaam. Sakata la uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea urais wa ACT-Wazalendo limeendelea kushika kasi,  huku  chama hicho kikitoa majibu kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na Naibu Mwenezi wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala anayepinga uteuzi huo. Monalisa aliwasilisha malalamiko hayo Agosti 19, 2025 Ofisi…

Read More

Malijendi wakoshwa na kiwango CHAN

MASHINDANO ya msimu huu ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024) yametajwa kuwa bora zaidi kiushindani na wajumbe wa masuala ya kiufundi ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF TSG) na yameonyesha maendeleo makubwa kuliko yaliyopita. Wajumbe hao, akiwemo Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ethiopia, Abraham Mebratu na mchezaji wa…

Read More

Profesa Mbarawa ataka tafiti zilete tija sekta ya usafirishaji

Dar es Salaam. Ili kuongeza ufanisi wa utoaji huduna katika sekta ya usafiri, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ametaka tafiti zinazolenga kuleta suluhisho katika sekta husika, zitafsiriwe ili kuchochea matokeo chanya. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 21, 2025 wakati akifungua mkutano wa tatu wa kimataifa wa usafiri na usafirishaji uliofanyika jijini hapa na…

Read More

CHAN 2024: CAF yazuia wapigaji Uganda

WAKATI timu ya taifa ya Uganda Cranes ikijiandaa kwa mechi ya nusu fainali ya CHAN 2024 dhidi ya Senegal, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limechukua hatua ya kupunguza idadi ya tiketi ambazo shabiki anaweza kununua mtandaoni. Hadi sasa, kila shabiki ataruhusiwa kununua tiketi tatu tu, kutoka tano zilizokuwa zikiruhusiwa awali. Taarifa hiyo imetolewa na Dennis…

Read More