Wananchi wamtwisha kero Nchimbi wakitaka halmashauri ya Katoro, aahidi hospitali mpya

Chato. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM), ikiahidi miradi mbalimbali Mkoa wa Geita, wananchi wa Katoro wametaka Halmashauri ya Geita Vijijini igawanywe ili kuwapunguzia adha ya kutembelea zaidi ya kilomita 80 kufuata huduma. Novemba 4, 2019, Halmashauri ya Geita ilihamia Kata ya Nzera iliyopo Jimbo la Geita Vijijini. Wananchi wanataka igawanywe iwe Halmashauri ya Geita na…

Read More

Uzembe barabarani ajali zaua 25 ndani ya wiki

Dodoma. Janga la ajali limezidi kuwa tishio nchini baada ya watu 25 kupoteza maisha katika matukio tofauti ndani ya wiki moja, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baadhi yao wakiwa mahututi. Ajali hizo zilitokea kwa nyakati tofauti katika mikoa tofauti, zikiwemo Pwani ambako watu watano wa familia moja walipoteza maisha juzi, Mwanza (watano), Mara (sita), na Dodoma…

Read More

Mshambuliaji Mtanzania asimuliwa athari mgogoro Iran

WAKATI hali ya taharuki ikiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati kufuatia mshambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran, imeripotiwa wachezaji watatu wa Kitanzania wanaokipiga katika ukanda huo wako salama. Wachezaji hao ni mshambuliaji Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu Iraq, Clara Luvanga (Al Nassr, Saudia) na Morice Sichone…

Read More

SERIKALI KUSAIDIA ZAIDI SEKTA BINAFSI KUCHANGIA MAENDELEO YA KIUCHUMI InboxSearch for all messages with label Inbox

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb)(kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), Bw. Paul Makanza, baada ya kikao chake na ujumbe kutoka kampuni hiyo, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika…

Read More

Job ameshasema huko! Sasa kazi kwenu

YANGA jana ilikuwa uwanjani kupima ubavu na timu moja ya jeshi, lakini kabla ya hapo, juzi kati ilivaana na Tabora United na kupata ushindi wa mabao 4-0, huku mmoja wa manahodha wa timu hiyo akiishuhudia akiwa nje ya uwanja, kisha akawaambia wenzake kwamba kikosi hicho kina watu. …

Read More

Simulizi za wazazi malezi ya watoto njiti

Dar es Salaam. Kwa wazazi wa watoto njiti, kila pumzi ya mtoto ni ushindi na kila usiku wa hofu ni hatua nyingine kuelekea kwenye mwanga wa kesho. Mohammed Salim anakumbuka siku ya Mei 5, 2017 ambayo maisha yake na ya mkewe yalibadilika kwani wakati wao wakiwa wamejiandaa kupata mtoto wa pili, safari yao iligeuka kuwa…

Read More

Mlipuko wa drone watikisa uwanja wa ndege Dubai

Dar es Salaam. Hali ya taharuki imetanda katika jiji la Dubai huko Falme za Kiarabu baada ya tukio la mlipuko mdogo kuripotiwa karibu na barabara ya kurukia na kutua ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Dubai. Tukio hilo limesababisha kusimamishwa kwa muda kwa baadhi ya safari za ndege. Taarifa za awali zinaeleza mlipuko huo umehusishwa…

Read More

Ally Salim apewa mmoja Dodoma Jiji

KIPA mpya wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongezewa mwingine endapo akionyesha kiwango cha juu kuisaidia timu hiyo. Kigogo mmoja wa timu hiyo (jina tunalo) alisema sababu ya kumsainisha kipa huyo mwaka mmoja ilitokana na muda mfupi wa kufanya makubaliano ya baadhi ya mambo, hivyo wakaona bora…

Read More