Yanga yapokea ofa mbili za Mzize Ulaya

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umethibitisha kupokea ofa kutoka katika timu za Ulaya ambazo zinataka kumnunua mshambuliaji Clement Mzize.  Ingawa hakuwa tayari kuzitaja timu ambazo zinamtaka mchezaji huyo, lakini Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema mbali na Azam FC wamepokea ofa kutoka timu ambayo inashiriki Ligi Kuu Russia na nyingine ya Israel.  “Ni kweli…

Read More

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

WALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) unaochimba makaa ya mawe katika kijiji cha Kapeta Kata ya Ikinga wilayani Ileje mkoani Songwe, wamemuomba uongozi wa kata hiyo kuwakumbusha STAMICO iwalipe fedha zao zaidi ya moja bilioni ambazo ni malimbikizo ya mishahara Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Awali katika kipindi cha miaka…

Read More

Mpina: Natimiza wajibu, sikwenda bungeni kucheza disko na mawaziri

Simiyu. Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amewajibu wanasiasa wanaosema hakuna maendeleo aliyofanya katika jimbo lake badala yake amesema  yeye hakutumwa bungeni “kucheza disco na mawaziri bali kufanya kazi”. Amewaonya wote wanaopambana naye kwamba wataishia kudhalilika kwa kuwa hawezi kucheka na waziri ambaye hatekelezi majukumu yake ipasavyo. Mpina ametoa kauli hiyo leo Mei…

Read More

Guede alivyopindua meza ya usajili Yanga

MABAO manane yametosha kubadili sehemu ya usajili wa Yanga baada ya mabosi wa timu hiyo kushtuka kwamba mshambuliaji Joseph Guede ana kitu miguuni na kichwani, na sasa ni miongoni mwa mastaa wanaobaki Jangwani. Awali, Guede alionekana kuwa na mwanzo mgumu katika kikosi cha kocha Miguel Gamondi, lakini kadri muda unavyokwenda ameonekana kubadili upepo wa mambo…

Read More

Mzozo kati ya Klopp na Salah watatuliwa..

Mkufunzi wa Liverpool Jürgen Klopp amesema kutoelewana kwake na fowadi Mohamed Salah wakati wa mechi ya wikendi iliyopita huko West Ham kumetatuliwa “kabisa”. Salah alizozana na meneja Jürgen Klopp wakati Liverpool ikitoka sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa London Stadium Jumamosi. Klopp na Salah walionekana kutoelewana wakati mchezaji huyo akisubiri kutambulishwa kutoka benchi zikiwa zimesalia…

Read More