Bashe: Wakulima Ruvuma ni werevu kufuata sayansi ya kilimo

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wakulima wa Mkoa wa Ruvuma wamepongezwa kwa kuwa werevu wa kufuata sayansi ya kilimo katika uzalishaji wa mazao. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) wakati akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara tarehe 19 Septemba 2024 baada ya kukagua Kituo cha kuuzia Mahindi cha Mtyangimbole, Wilaya ya Songea,…

Read More

Chadema, Chaumma waendeleza vijembe, CCM yasimama katikati

Dar es Salaam. Vita ya hoja na vijembe imeendelea kupigwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kila upande ukiutuhumu mwingine kwa mwenendo usiofaa. Chadema inautuhumu uongozi wa Chaumma kujaa usaliti, kwa kuwa wengi wao walikuwa makada wa chama hicho kikuu cha upinzani, lakini wamekihama katika nyakati…

Read More

Wiki ya Maziwa: TBS Yaelimisha Umma Kuhusu Umuhimu wa Kusoma Vifungashio

WATUMIAJI wa bidhaa watakiwa kusoma maelezo yanayopatikana katika vifungashio vya bidhaa kabla ya kununua bidhaa husika hususani muda wa matumizi. Ushauri huo umetolewa na Afisa Udhibiti ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi. Sarah Maro, wakati akizungumza na watembeleaji kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa yaliyofanyika katika viwanja vya zimoto Manispaa ya…

Read More

Merika, Ukraine kati ya wanachama wapya waliochaguliwa kuwa Baraza la Uchumi na Jamii la UN – Maswala ya Ulimwenguni

Kroatia, Urusi na Ukraine zilipata viti kutoka kwa Kikundi cha Mkoa wa Ulaya Masharikiambayo ilikuwa na viti vitatu vilivyopatikana. Urusi ilichaguliwa katika kukimbia dhidi ya Belarusi, kwani mataifa yote mawili yalishindwa kupata idadi ya theluthi mbili katika mzunguko wa kwanza wa kura. Makedonia ya Kaskazini, mgombea wa tano kutoka kwa kikundi hicho, hakukutana na kizingiti…

Read More