


Yanga yashusha jezi mpya kuwakimbia ‘wafyatuaji’
Yanga imesema imeshusha mzigo wa jezi mpya awamu ya pili zitakazokuwa na mabadiliko ili kuwakimbia wahujumu wa mapato wanaofyatua jezi feki. Akizungumzia hilo, Meneja wa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema mwekezaji wa biashara ya jezi za klabu baada ya kumalizika kwa jezi za kwanza ameshtukia uwepo wa uzi feki mwingi sokoni. Kamwe amesema baada…
Equity Group yapongezwa kwa kuwaleta pamoja wawekezaji
Dar es Salaam, 19 Mei 2025 – Equity Group, chini ya Mpango wa Afrika wa Urejeshaji na Uhimilivu (ARRP), inaongoza msafara wa kimataifa wa biashara na uwekezaji katika Afrika Mashariki, ukiaanzia nchini Tanzania (Dar es Salaam na Zanzibar) na kuendelea Uganda (Kampala). Msafara huu unalenga kuangazia fursa za kiuchumi na kukuza ushirikiano wa kikanda. …

Mufti Zubeir: Mwezi haujaandama, Waislam kuanza kufunga Jumapili
Tanga. Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir ametangaza kutoonekana kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nchini na nchi jirani hivyo waumini wa dini ya Kiislam wataanza rasmi kufunga Machi 2,2025. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kuandama kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhani leo Ijumaa Februari 28,2025 mkoani Tanga, Mufti Zubeir amesema, “kamati ya mwezi imefuatilia maeneo…

TET YASHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA 18 NA MAONESHO YA KIDIGITALI
Taasisi ya Elimu Tanzania imeshiriki katika mkutano wa kimataifa wa 18 na maonesho ya Elimu ya kidigitali ambapo Washiriki kutoka nchi 65 wanashiriki (E- Learning Africa) katika kituo cha kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es laam,Leo tarehe 7.5.2025. Mkutano huo umeambatana na maonesho ambapo Taasisi mbalimbali za ndani na nje ya nchi zinashiriki kuonesha…

KITUO CHA AFYA ENGARENAIBOR KIMEANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI
NAIBU Waziri wa Madini,Dkt Steven Kiruswa amewataka viongozi wa milla maarufu kwa jina la Laigwanani na viongozi wa serikali na Chama Cha Mapinduzi{CCM} ngazi ya Kitongoji,Kijiji na Kata kuwahimiza akina mama wajawazito wa jamii ya kifugaji ya kimasai kuhakikisha wanakwenda kujifungua katika vituo vya afya na sio nyumbani ili kuepusha vifo vilisivyo vya lazima. Dkt…

Necta Wanatangaza Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2024 – Global Publishers
Last updated Jan 23, 2025 Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), leo Januari 23, 2025 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato che nne. Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili…

MADEREVA 800 WAPATIWA MAFUNZO KUELEKEA MSIMU WA UTALIII
Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi. KATIKA kuhakikisha msimu wa Utalii (high season) unaoanza hivi karibuni unakuwa katika hali ya amani, Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha limewakutanisha zaidi ya madereva 800 wanaobeba watalii kwa ajili ya kuwapatia mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo pindi wanapotoa huduma hiyo ya usafiri. Akifungua mafunzo…

Simba yapasua mtu 11-0, Mnunka arejea na mbili
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens leo jioni wameichakaza Mlandizi Queens kwa mabao 11-0 kwenye Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Jentrix Shikangwa alifunga mabao manne, Asha Djafar alitupia hat-trick, Aisha Mnunka aliweka kambani mawili wakati Precious Christopher na Ruth Ingosi kila moja alifunga mara moja….
