Baada ya miaka 10 gizani, Ilala waanza kupata umeme

Mufindi. Baada ya zaidi ya miaka 10 ya kuishi bila huduma ya umeme, wakazi wa Kitongoji cha Ilala, Kijiji cha Nyololo Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, hatimaye wameunganishiwa nishati hiyo kupitia Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini (Rea), hatua iliyowapa matumaini mapya ya maendeleo na kuboresha maisha yao. Huduma hiyo imeanza kutolewa baada ya uwekaji wa…

Read More

Serikali yaonya utupaji wa plastiki baharini

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Usafiri wa Majini Duniani, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetawaka wananchi kupunguza uchafuzi wa plastiki katika bahari na kulinda rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo. Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Mazingira (UNEP), linaonyesha kila mwaka tani milioni 19 hadi 20 za plastiki zinatekezwa baharini,…

Read More

SITA KIZIMBANI KWA MASHTAKA 68 IKIWEMO KUISABABISHIA TRA HASARA YA ZAIDI YA BILIONI 2

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ‎‎WAFANYABIASHARA sita wa jijjni Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni (Kinondoni), wakikabiliwa na mashitaka 68 yakiwamo ya kupotosha mfumo na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.‎‎katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakama hapo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Daisy Makakala…

Read More

Cheza kasino ya mtandaoni Sloti ya FoxPot

*Sloti ya Foxpot UNAWEZA ukawaza ni wapi hela zinakotoka kwa jinsi ambavyo zinatiririka, usiwaze hiyo ni sloti ya kijanja ya Foxpot inakuja na mnyama Mbweha kama zawadi ya Wild lakini pia kasino hii ya mtandaoni ina mistari 12 ya ushindi na kushinda ni rahisi sana. Usipoteze muda wako kuwaza sehemu ya kuingiza hela, swali lako…

Read More

Pesa yako ipo hapa na Meridianbet

  Ikiwa hii ni wiki ya pili ya kurejea kwa ligi mbalimbali Duniani, Ijumaa ya leo kuna mechi kibao za kukupatia pesa kuaniza kule Ufaransa, Hispania na zingine kibao. Ingia Meridinabet na uanze kusuka jamvi lako sasa. Tukianza kumulika ligi kuu ya Ufaransa, LIGUE 1 leo hii bingwa mtetezi PSG baada ya kushinda mchezo uliopita…

Read More

Mbangula naye anajishangaa | Mwanaspoti

WAKATI wadau na mashabiki wakijiuliza kasi ya straika wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula kupungua, mwenyewe amesema naye anashangaa kwanini hafungi tangu alipoifunga Simba. Mbangula alikuwa na muendelezo mzuri wa kufunga mabao lakini tangu amefunga mabao mawili dhidi ya Simba, Machi 6 mwaka huu wakati Tanzania Prisons iliposhinda 2-1, hajaingia tena wavuni. Staa huyo ambaye ni…

Read More

Azam yapata ushindi mwembamba nyumbani

Azam FC imeanza vyema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua za awali baada ya kuichapa APR FC ya Rwanda bao 1-0 Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Timu mbili kutoka Tanzania Azam FC na Yanga zinawakilisha kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa baada ya kumaliza nafasi mbili za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Mahakama yaamuru Chavda akamatwe kwa kuruka dhamana

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata popote alipo, mfanyabiashara maarufu nchini, Pravinchandra Chavda (75) baada ya kuruka dhamana katika kesi ya kutoa taarifa za uongo polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam. Pia, Mahakama hiyo imetoa hati ya kuwaita wadhamini wa mshtakiwa huyo ili waieleze Mahakama sababu za kushindwa…

Read More

Nasser bingwa Africa, Patel Mkwawa Rally

DEREVA Mtanzania, Yassin Nasser na msoma ramani Mganda, Ally Katumba ndio mabingwa wa Afrika kwa mwaka 2025 licha ya kumaliza nafasi ya tatu katika raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari wa Afrika zilizomalizika jana Jumapili. Dereva huyo aliyekuwa akiendesha gari aina ya Ford Fiesta R5 alimaliza nafasi ya tatu kwa upande wa…

Read More